Nenga ana roho ngumu sana. Mimi siwezi kuachwa na mwanamke achumbiwe na mwingine, halafu baadaye anirudie nimuoe

Nenga ana roho ngumu sana. Mimi siwezi kuachwa na mwanamke achumbiwe na mwingine, halafu baadaye anirudie nimuoe

Wanawake waliopita THT karibia 80% mwongoza njia amepita nao
Nandy. Linah. Mwasiti. Mke wa romy jons zamaradi. Jay dee.. ray c..kaby. .jamaa kachafua wote..

Na wote wanabugia karanga
Kwanini alikuwa anawalamba bakora kiasi hicho ?
 
Nimeona ona sana wadau wakisema Nandi katoka familia yenye hela! Ebu fafanueni, ni Nandi yupi, huyu Nandela wa Tabata, baba'ake mwenye shughuli yake kabla ya kufika Mawenzi pale? Nandi yule akiuza duka au?
Nandi kwao wala hana hizo hela ambazo wapuuzi wanadanganyana humu ndani.
 
Mi pia nimechoka hoii,wanaosema Nandy kwao Kuna hela ipi labda?

Pesa ya Nandy imekuja baada ya Nandy kua mwanamuziki na ruge kuwajengea wazazi wa Nandy nadhani mlandizi hukoo...

Hii nchi bwana watu wanalishana uongooo[emoji16][emoji4]
Nyumba yao ipo sehemu moja huko Mlandizi panaitwa Disunyara.
 
Nimeona ona sana wadau wakisema Nandi katoka familia yenye hela! Ebu fafanueni, ni Nandi yupi, huyu Nandela wa Tabata, baba'ake mwenye shughuli yake kabla ya kufika Mawenzi pale? Nandi yule akiuza duka au?
Kuna watu wako Simiyu lkn wanamjadili Nandy kana kwamba wanaishi Ubungo
 
Back
Top Bottom