Netanyahu aikumbusha Dunia kuwa Israel ya leo, ndio ile ile ya Ibrahim, Isaka,Yakobo, Yeremia, Isaya, Daudi

Netanyahu aikumbusha Dunia kuwa Israel ya leo, ndio ile ile ya Ibrahim, Isaka,Yakobo, Yeremia, Isaya, Daudi

Alafuuuuu hii sio vita ya kidini jamani. Haya ni mauaji ya kimbari (Genocide) wanaouliwa na wanaoumia ni raia wa kawaida; wanawake, wanaume, wazee na watoto wadogo. Waisrael wenyewe wanaondoka nchini kwao kwasab hakuna amani na huku Palestine watu wanalipuliwa kila kukicha.
WANAOATHIRIKA NI RAIA SIO WANAJESHI

Kwahiyo acheni ushabiki maandazi
mngejua hao mayahudi wanavouchukia ukristo wala msingewashobokea.
wengi wenu mnatetea Israel kwasab mnahisi ni wenzenu ila ukweli ni kwamba wao hawawatambui wala hawawapendi. Mtu yoyote mwenye utu na mwenye akili timilifu hawez kushabikia haya mauaji wala kuleta udini mnaouleta hapa hakuna dini inayosupport mauaji ya viumbe wasokuwa na hatia unless hio dini ni ya kipumbavu.
Fujo wakifanya wapalestina ni haq israel akijibu ni mauji ya kimbari safi kabisa mpaka akili ziwakae sawa
 
Mashetani hsya mnayoswali nayo misikitini na kuyafuga majumbani mwenu tena yanakaa vichwani mwenu mkiyapandisha baada ya kusoma vifungu fulani vya quran? 🤣
Ndio, na ndo mashetani hayohayo tunawauzia wachungaji wenu wanayavaa kwenye pete af wanawashika vichwa kuwachota akili ili muwe mbu mbu mbu daima milele msishtuke kuwa wanawaibia
 
Alafuuuuu hii sio vita ya kidini jamani. Haya ni mauaji ya kimbari (Genocide) wanaouliwa na wanaoumia ni raia wa kawaida; wanawake, wanaume, wazee na watoto wadogo. Waisrael wenyewe wanaondoka nchini kwao kwasab hakuna amani na huku Palestine watu wanalipuliwa kila kukicha.
WANAOATHIRIKA NI RAIA SIO WANAJESHI

Kwahiyo acheni ushabiki maandazi
mngejua hao mayahudi wanavouchukia ukristo wala msingewashobokea.
wengi wenu mnatetea Israel kwasab mnahisi ni wenzenu ila ukweli ni kwamba wao hawawatambui wala hawawapendi. Mtu yoyote mwenye utu na mwenye akili timilifu hawez kushabikia haya mauaji wala kuleta udini mnaouleta hapa hakuna dini inayosupport mauaji ya viumbe wasokuwa na hatia unless hio dini ni ya kipumbavu.
Yaan bado hamjasema magaidi yote lazima muwahishwe kuzimu mkapambane na bikra 72 mapema kabla jogoo kuwika
 
Anasema, Ardhi hii ilikuwa yetu na Milele Daima, itakuwa yetu !!.

Salaam alaikum, Kichapo kitaendelea tu, hamna namna !!.

View attachment 3058477

Israel ni Uthibitisho na Kielelezo cha kuwa MUNGU YUPO NA NDIO ALIYEUMBA DUNIA.
Netanyahu na Ashkenazi jews hawajawahi kuwa na baba Anayeitwa Jakobo wala Ishaq, proven with science,

Hao wanaouliwa leo Wapalestina proven with science ndio vizazi vyao ni vya Jakobo na ishaq

Cha wa wa Bongo............
 
Anasema, Ardhi hii ilikuwa yetu na Milele Daima, itakuwa yetu !!.

Salaam alaikum, Kichapo kitaendelea tu, hamna namna !!.

View attachment 3058477

Israel ni Uthibitisho na Kielelezo cha kuwa MUNGU YUPO NA NDIO ALIYEUMBA DUNIA.
"UKiruhusu akili ifanye kazi vizuri kabisa bila kuingiza HISIA utagundua jambo moja kubwa sana, Israel inayoonwa Leo na kusemwa Leo si Ile ilisemwa 325 AD ,hii imeundwa upya kwa lengo la kibiashara na hizo historical sites ni za kutengenezwa"

Katika matukio halisi ya kihistoria Hawa jamaa WALITAKA Israel Yao iwe Katika nchi za maziwa makuu ambako ndipo chanzo Cha mto Nile ,pia ndipo Binadamu wa kwanza aliishi,hili halibishaniwi na msomi yoyote maana ni fact...(Deal Yao ingefanikiwa Leo huenda mlima Sinai ingekuwa ni hii Kilimanjaro Wala siyo vile vichuguu vya pale Palestine)

Kumjua Mungu siyo kuwa fooled kwa maujinga ya kutungwa..just obey Land, Air and water and level up your frecuency hakuna kitu kitakushinda
 
Anasema, Ardhi hii ilikuwa yetu na Milele Daima, itakuwa yetu !!.

Salaam alaikum, Kichapo kitaendelea tu, hamna namna !!.

View attachment 3058477

Israel ni Uthibitisho na Kielelezo cha kuwa MUNGU YUPO NA NDIO ALIYEUMBA DUNIA.
Braza acha kusikiliza porojo izo na elimu yako ikusaidie...Wewe unajua wenyeji wa Amerika kaskazini walikuwa kina nani? Au Africa kaskazini wanapokaa Waarabu saivi unajua walikuwa wanakaa Black African.
Apo South Africa mbona Wazungu wanapaita home na ni sehemu ya African. haya mambo tutumieni akili muda unabadilika na mambo yanabadilika.
Hawa Israel n magaidi kama magaidi wengine.
Mimi ni Mkristo maana hamchelew kusema we mvaa kobasi nenda sijui kwa mabikira
 
"UKiruhusu akili ifanye kazi vizuri kabisa bila kuingiza HISIA utagundua jambo moja kubwa sana, Israel inayoonwa Leo na kusemwa Leo si Ile ilisemwa 325 AD ,hii imeundwa upya kwa lengo la kibiashara na hizo historical sites ni za kutengenezwa"

Katika matukio halisi ya kihistoria Hawa jamaa WALITAKA Israel Yao iwe Katika nchi za maziwa makuu ambako ndipo chanzo Cha mto Nile ,pia ndipo Binadamu wa kwanza aliishi,hili halibishaniwi na msomi yoyote maana ni fact...(Deal Yao ingefanikiwa Leo huenda mlima Sinai ingekuwa ni hii Kilimanjaro Wala siyo vile vichuguu vya pale Palestine)

Kumjua Mungu siyo kuwa fooled kwa maujinga ya kutungwa..just obey Land, Air and water and level up your frecuency hakuna kitu kitakushinda
Ukweli huu
 
Braza acha kusikiliza porojo izo na elimu yako ikusaidie...Wewe unajua wenyeji wa Amerika kaskazini walikuwa kina nani? Au Africa kaskazini wanapokaa Waarabu saivi unajua walikuwa wanakaa Black African.
Apo South Africa mbona Wazungu wanapaita home na ni sehemu ya African. haya mambo tutumieni akili muda unabadilika na mambo yanabadilika.
Hawa Israel n magaidi kama magaidi wengine.
Mimi ni Mkristo maana hamchelew kusema we mvaa kobasi nenda sijui kwa mabikira
Lazima magaidi yote muwahishwe kuzimu mkapambane na bikra 72 mapema kabla jogoo kuwika
 
Back
Top Bottom