Nahisi kuna jambo zito linakuja.Nilichojifunza ni kuwa kama Mrusi.
Mrusi ukibahatika kumshambulia hatoi kauli anachofanya ni kutangaza hasara iliyopatikana halafu kimya.
Majibu yake mtakuja kuyatangaza nyinyi wengine mara ooh warusi wana roho mbaya hawajatoa hata taarifa! Mara hivi mara vile!
Hali ya namna hii huwa inajenga hofu kwa unayepambana naye!
Hakuna anayeelewa, lakini naona kikubwa wanajipanga na wanaandaa mikakati thabiti.Ila huu ukimya wa Hizbollah unaleta utata sana.
Yani hawatangazi kitu wapo kimya sana.
Sijui wanapanga nini hawa jamaa.
Hao bana wakisema washajiandaa aisee inakua balaa.Hakuna anayeelewa, lakini naona kikubwa wanajipanga na wanaandaa mikakati thabiti.
Hii uliona wewe, ila wao walichokiona ni Netanyahu kuwa hana mswalie mtume, anawavuruga sana waja wa allahHii thread kuna watu wameandika vichekesho hatari.
Yani Israel ambayo imepata askari walemavu zaidi ya 70,000 kwa vita ya Hamas tu pale Gaza iitishie Iran na iiweze Iran na mashariki ya kati yote!??
*Kwanza hivi mlitizama kikao cha UNGA viongozi walivyoondoka na kumdharau Benjamin Netanyahu!?
Viongozi wengi waliinuka na kuikwepa ile speech ya Netanyahu maana waliona hana jipya na mropokaji tu.
Hilo tu ninyi wagalatia liwajulishe kuwa Netanyahu ni kichekesho.
*Pia kila siku Israel ndio inailalamikia Iran na kuisema,mbona huwaoni Iran wakilalamikia Israel kwa sana!?
Kila siku Israel Iran hivi mara Iran vile,hii inajulisha Israel inamhofia sana Iran.
Ni kweli Israel haikuivamia Iran, lakini nikuulize Kiongozi Mkuu wa HAMAS na Rais wa Iran walibaki salama? Ahahahahaha!!!Ujinga umekujaa huyo Israel hajafika hata nusu ya Ujerumani.
Kijitaifa kinachoishi ndani ya ngao ya ulimwengu wa magharibi hakina uwezo wa kutisha mashariki ya kati yote.
Iran iliporusha makombora Israel na yalifika [ hivi unajua hicho kitendo ni kuhararisha vita ya moja kwa moja ] kwa nini Israel hakuivamia Iran kivita kama yeye anaweza kuua mashariki ya kati yote ?
Una kichwa kitumie kufikiri sio kujaza ujinga.
Unaongea mihemko huongei fact.Hii uliona wewe, ila wao walichokiona ni Netanyahu kuwa hana mswalie mtume, anawavuruga sana waja wa allah
Bila mabwana zake hana ujanja.Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.
My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
Vita ni ngumu ndugu yangu vijana hawajui!Hapa kinachosubiriwa ni Hezbollah atoe tamko kwamba anaingia vitani, ndipo watu watagundua kama vita ni rahisi wanavyofikiria...
Israel njia pekee kujiponya ni kuua raia, kijeshi ni wadhaifu.
Hezbollah wakitoa tamko rasmi tutashuhudia mengi..
Ubongo mgando wewe. Ina maana hujui kwamba raisi wa Iran aliuwawa na Israeli kwenye milima. Huyo Haniyeh si aliuwawa baada ya kutoka kwenye sherehe ya kuapishwa rais mpya.Ismail Haniyeh ndio rais wa Iran!?
Mbona we ni kichaa aisee!??
Israel anachotaka kukifanya Lebanon ni kama Gaza...Nahisi kuna jambo zito linakuja.
Maana sio kwa huu ukimya.
Ila Israel imeshasogeza vifaru na wanajeshi mipakani na Lebanon.
Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.
My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
Una uhakika gani rais wa iran ameuawa na israel?Ubongo mgando wewe. Ina maana hujui kwamba raisi wa Iran aliuwawa na Israeli kwenye milima. Huyo Haniyeh si aliuwawa baada ya kutoka kwenye sherehe ya kuapishwa rais mpya.
Lini myahudi alifanya shambulio la siri na akakubali. Je, kuuawa kwa Haniyeh Israel imekiri kumwua?Una ushahidi gani kama Israel ndio walimuua rais wa Iran?
Mbona Netanyahu alikataa?
Uko Obsessed sana na Ukristo. Shida nini?Wakiristo wa jf thread zao zinachekesha sana utadhani wamemaliza std 7
Acha ibaki kuwa siri ya wakubwa.Una uhakika gani rais wa iran ameuawa na israel?
Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.
My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
Ukweli wenyewe kudhalilisha.Unao ushahidi wa Rais wa Iran kuuliwa na Israel ? Idiot nenda jukwaa la mapishi
A
Acha ibaki kuwa siri ya wakubwa.
Hao wakithubutu wanapata aibu ya karne.Nahisi kuna jambo zito linakuja.
Maana sio kwa huu ukimya.
Ila Israel imeshasogeza vifaru na wanajeshi mipakani na Lebanon.