Netanyahu atuma ujumbe kwa iran, "Hatuna shida na wananchi, ni wakandamizaji wanaotumia pesa zenu kufadhili ugaidi, uhuru wenu upo karibu"

Netanyahu atuma ujumbe kwa iran, "Hatuna shida na wananchi, ni wakandamizaji wanaotumia pesa zenu kufadhili ugaidi, uhuru wenu upo karibu"

Hotuba yenye hekima kubwa.

Ukweli ni kwamba tawala za kidikteta za mashariki ya kati zinachukiwa sana na wananchi wake, bali wananchi hawana la kufanya kutokana na ushetani mkubwa wanaofanyiwa na watawala wao, yakiwemo mauaji ya yeyote anayeinuka na kutaka mabadiliko. Tawala hizo hazina tofauti na utawala wa CCM nchini mwetu ambao unateka na kuua kila anayehoji na kutaka mabadiliko kwenye mifumo ya utawala.

Iran kabla ya utawala wa kidikteta, ilikuwa inaonekana kuwa ni Ulaya ndani ya mashariki ya kati, kutokana na kiwango cha maendeleo iliyokuwa imeyafikia. Leo imekuwa ni miongoni mwa mataifa machache ya mashariki ya kati ambayo wananchi wake wanaishi kwa mateso ya umaskini wa kupimdukia. Pamoja na utajiri wote wa mafuta, 31% ya wairan wote wanaishi chini ya mstari wa umaskini (acute/abject poverty), sawa na wale maskini wa kupindukia, kusini mwa jangwa la Sahara..
 
Natanyahu,acha huo mdomo,pambana na kesi zako za ufisadi kwanza
Hana ufisadi wowote. Kesi zile ni za kisiasa. Ndiyo maana mahakama ilitaka kesi ifanyike baada ya vita kumalizika, lakini Netanyahu alikataa na kutaka ifanyike mapema, ili ukweli ujulikane. Kama unafuatilia siasa za Israel, bila shaka utakuwa umeona polling ya maoni ya watu. Chama cha Likud cha Netanyahu kinaongoza kwa mbali, ila vyama washirika ndiyo vinaning'inia.
 
Hana ufisadi wowote. Kesi zile ni za kisiasa. Ndiyo maana mahakama ilitaka kesi ifanyike baada ya vita kumalizika, lakini Netanyahu alikataa na kutaka ifanyike mapema, ili ukweli ujulikane. Kama unafuatilia siasa za Israel, bila shaka utakuwa umeona polling ya maoni ya watu. Chama cha Likud cha Netanyahu kinaongoza kwa mbali, ila vyama washirika ndiyo vinaning'inia.
Mahaba niue usijelusema Netanyahu ndio yesu mlioahidiwa atashuka kuna forum nishaanza kuona hilo
 
Naona anawaandaa kisaikolojia wananchi.
Mwakani hapa picha linaanza
Netanyahu kwa sasa ana wakati mgumu sana, amefikia hadi kuwaita shinbet na mossad wasaliti, na huku jela inamuita , alitumia vita kukimbia jela ila waisrael wamekomaa nae, na trump ni kichaa kwanza keshasema hamuamini netanyahu ,ila atahakikisha mateka wanaachiwa ,means atalazimisha na sio kubembeleza ceasefire
 
Hana ufisadi wowote. Kesi zile ni za kisiasa. Ndiyo maana mahakama ilitaka kesi ifanyike baada ya vita kumalizika, lakini Netanyahu alikataa na kutaka ifanyike mapema, ili ukweli ujulikane. Kama unafuatilia siasa za Israel, bila shaka utakuwa umeona polling ya maoni ya watu. Chama cha Likud cha Netanyahu kinaongoza kwa mbali, ila vyama washirika ndiyo vinaning'inia.
subira huvuta kheri
 
Netanyahu kwa sasa ana wakati mgumu sana, amefikia hadi kuwaita shinbet na mossad wasaliti, na huku jela inamuita , alitumia vita kukimbia jela ila waisrael wamekomaa nae, na trump ni kichaa kwanza keshasema hamuamini netanyahu ,ila atahakikisha mateka wanaachiwa ,means atalazimisha na sio kubembeleza ceasefire

Mwaka 2025 utakuwa mgumu kwa Iran. Netanyau ni Beberu. Ifuko ya kibeberu imejaa hila tupu
 
Naona kila siku mwakunyazi ya Netanyahu yanaongezeka anafikiria kitu ambacho hana uwezo wa kikuzua,Iran ni mkubwa sana kwa Netanyahu inabidi alifaham hillo
Facts checks????? Iran kubwa kwa Israel? Kaua rais wao ndani ya ardhi yake, Israel kaua yeyote anae mtaka pale Iran kwa muda alioutaka, in fact maadui wa Israel wakiwa Iran, ni hatari zaidi kwao kuliko kua Qatar. Hebu lete uthibitisho kwamba Iran ni kubwa sana kwa Israel.
 
1000017249.jpg
 
Mahaba niue usijelusema Netanyahu ndio yesu mlioahidiwa atashuka kuna forum nishaanza kuona hilo
Binafsi huaga nampenda sana mtu anae kosoa au kuunga mkono kwa DATA. Unaonaje ukileta data zako za kuonesha kwamba Netanyahu anachukiwa na watu wake? Weka in terms of %, usilete idadi ya watu cause hata hapa Tanzania, wapo watu wanao ichukia ccm na Chadema as well. Hakuna mtu kawahi kupendwa na watu wake wote, Mungu tu kuna watu hawampendi, ije kwa binadamu? Again weka data za wa Iran wanao ipenda serikali yao na mfumo wao wa uongozi; bila data inakua ni maoni yako binafsi
 
Naona kila siku mwakunyazi ya Netanyahu yanaongezeka anafikiria kitu ambacho hana uwezo wa kikuzua,Iran ni mkubwa sana kwa Netanyahu inabidi alifaham hillo
Goliath naye alikuwa mkubwa kumshindi Daud lakini alichokipata kimekuwa cha kihistoria duniani na kuzimu kwa shetani.
 
Back
Top Bottom