yap, anashukuru under gun point. utasema ameongea kwa akili yake hapo? au akili ya woga. pia, twende mbele turudi nyuma, hamas mmepata kichapo kikubwa sana safari hii, na nadhani mngejua yangekuwa haya, wala msingeanzisha ule ugomvi. siku nyingine mjitafakari kwanza kabla ya kuanzisha ugomvi.
Lkn HAMAS wabarikiwe sana Wanajua Haki! nimewakubali ktk mipango yao msosi kwanza waliakikisha Mabint Wameshiba asa!!!! kisha ndio awa Amza kasongo!!!!!!Wanaukumbi.
All three Israeli captives were starved because of Israel. Israel controls the borders and the aid going in. It is Israel that imposed starvation on Gaza as a whole.
The irony is that the same Israelis who claimed there was no famine in Gaza and ignored the suffering of Palestinian hostages released in even worse conditions are now saying the Israeli captives were starved.
=============
Watekwa wote watatu wa Israeli walikufa njaa kwa sababu ya Israeli. Israel inadhibiti mipaka na misaada inayoingia. Ni Israel iliyoweka njaa kwenye Gaza kwa ujumla.
Jambo la kushangaza ni kwamba Waisraeli wale wale waliodai kuwa hakuna njaa huko Gaza na kupuuza mateso ya mateka wa Kipalestina walioachiliwa katika hali mbaya zaidi sasa wanasema mateka wa Israel walikufa njaa.
View: https://x.com/suppressednws/status/1888185669610070502?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ndio uyu alijificha chooni Kamanda wa Vikosi Mdebwedo kabisa Kambi nne za Jesh zinavamiwa Wanatekwa IDF kibao na KAMANDA wao Waisrael waliwekeza zaid kwenye Propaganda na kwa Wachungaji kuwapigia Promo Taufa teule!!!! sio kwenye Jesh kias sasa baadhi ya Wachungaji wanaona Aibu kuona picha izi!!!!!
Ndio uyu alijificha chooni Kamanda wa Vikosi Mdebwedo kabisa Kambi nne za Jesh zinavamiwa Wanatekwa IDF kibao na KAMANDA wao Waisrael waliwekeza zaid kwenye Propaganda na kwa Wachungaji kuwapigia Promo Taufa teule!!!! sio kwenye Jesh kias sasa baadhi ya Wachungaji wanaona Aibu kuona picha izi!!!!!
Ndio ilikuwa mipango yao Wawakomboe Mateka wao kutoka uko kwa Magaid ya IsraelHivi malengo ya Hamas baada ya Lile tukio la utekaji na mauaji ya raia 1200 wa Israel yametimia ?
Mtu anavamia nyumba yako anafanya uharibifu, unaamua kujihami kwa kulipiza kisasi, badae anaanza kulaumu kwamba wewe huna utu kwasababu umeamua kulipiza kisasi. Hii akili au matope, unakuwaje mbabe halafu lialia
UKweli Watasema tu migaid ya Israel Wao ndio wameuwa waisrael 1200 kisha wanawasingizia Hamas!!!!!
Nimeuliza kuhusu kama "malengo ya Oct 7 yamefanikiwa"?.....hayo maelezo mengine ya nini Sasa?Swali la kitoto unaniuliza ndiyo maana nimekuuliza una umri gani vita vya Gaza huwenda umeanza kuvijua kuptia JF, Palestina toka mwaka 1947 wanapambana na Israel baada ya kuchukuliwa ardhi yao wewe unakuja na habari za kitoto za Oct 7 nakushari huu uzi mzito kwako kuwa msomaji tu.
Una umri gani?Hayo yote ni cha mtoto bado la wapalestina kuhamishwa Gaza kwa mboko si mulikuwa mnasema Netanyahu ni muisrael fake sasa kaja musrael original mpaka wapalestina walie mamaa.
Ndio msos walishiba wao na mateka Wakike awa wengine Amza kasongo Watakula Sawa na raia Wapalestina vile Wanateseka Sababu Wanaume ndio Wapanga mipango uko IsraelInakuwaje mateka wafe kwa njaa halafu waliowashikilia hawajapata madhara yoyote