Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
- Thread starter
- #41
yap, anashukuru under gun point. utasema ameongea kwa akili yake hapo? au akili ya woga. pia, twende mbele turudi nyuma, hamas mmepata kichapo kikubwa sana safari hii, na nadhani mngejua yangekuwa haya, wala msingeanzisha ule ugomvi. siku nyingine mjitafakari kwanza kabla ya kuanzisha ugomvi.
View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1888211184685547643?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw