Netanyahu na wenzake walisema Gaza hamna njaa mpaka congress wakampigia makofi, leo analalamika kuwaona mateka wake hali zao

Netanyahu na wenzake walisema Gaza hamna njaa mpaka congress wakampigia makofi, leo analalamika kuwaona mateka wake hali zao

Wanaukumbi.

All three Israeli captives were starved because of Israel. Israel controls the borders and the aid going in. It is Israel that imposed starvation on Gaza as a whole.

The irony is that the same Israelis who claimed there was no famine in Gaza and ignored the suffering of Palestinian hostages released in even worse conditions are now saying the Israeli captives were starved.
=============
Watekwa wote watatu wa Israeli walikufa njaa kwa sababu ya Israeli. Israel inadhibiti mipaka na misaada inayoingia. Ni Israel iliyoweka njaa kwenye Gaza kwa ujumla.

Jambo la kushangaza ni kwamba Waisraeli wale wale waliodai kuwa hakuna njaa huko Gaza na kupuuza mateso ya mateka wa Kipalestina walioachiliwa katika hali mbaya zaidi sasa wanasema mateka wa Israel walikufa njaa.


View: https://x.com/suppressednws/status/1888185669610070502?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Lkn HAMAS wabarikiwe sana Wanajua Haki! nimewakubali ktk mipango yao msosi kwanza waliakikisha Mabint Wameshiba asa!!!! kisha ndio awa Amza kasongo!!!!!!
 
Hivi malengo ya Hamas baada ya Lile tukio la utekaji na mauaji ya raia 1200 wa Israel yametimia ?
Ndio ilikuwa mipango yao Wawakomboe Mateka wao kutoka uko kwa Magaid ya Israel
 
Hayo yote ni cha mtoto bado la wapalestina kuhamishwa Gaza kwa mboko si mulikuwa mnasema Netanyahu ni muisrael fake sasa kaja musrael original mpaka wapalestina walie mamaa.
 
Swali la kitoto unaniuliza ndiyo maana nimekuuliza una umri gani vita vya Gaza huwenda umeanza kuvijua kuptia JF, Palestina toka mwaka 1947 wanapambana na Israel baada ya kuchukuliwa ardhi yao wewe unakuja na habari za kitoto za Oct 7 nakushari huu uzi mzito kwako kuwa msomaji tu.
Nimeuliza kuhusu kama "malengo ya Oct 7 yamefanikiwa"?.....hayo maelezo mengine ya nini Sasa?
 
Hayo yote ni cha mtoto bado la wapalestina kuhamishwa Gaza kwa mboko si mulikuwa mnasema Netanyahu ni muisrael fake sasa kaja musrael original mpaka wapalestina walie mamaa.
Una umri gani?

Tovuti za mitandao ya kijamii na watu mashuhuri nchini Marekani na ulimwenguni kote ni wabunifu katika kumdhihaki na kumdhihaki mjinga wa Marekani...

Trump amekuwa kicheko cha dunia na kuifanya Marekani kuwa nchi isiyo na hadhi wala thamani


View: https://x.com/ahlaamm___2020/status/1887943858622705940?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hiii ndio FITINA Paka na nyau mtoto!! wapo OK lkn Kamanda anaelinda ardhi na mipaka! ndio ivyo katelekezwa na Paka uko GAZA akiwa hoi bin Taaban! kwa njaaa!!! Safi sana wametaka kuwauwa njaa Raia w Palestina lkn Wangekufa na IDF asa wakiume!!!!!
 
Inakuwaje mateka wafe kwa njaa halafu waliowashikilia hawajapata madhara yoyote
Ndio msos walishiba wao na mateka Wakike awa wengine Amza kasongo Watakula Sawa na raia Wapalestina vile Wanateseka Sababu Wanaume ndio Wapanga mipango uko Israel

l sio Wanawake ivo IDF Wakiume Wanavuna Walichopanda!!!! Tumeona ata waliokuwa Wanazuiya misaada isiwafikie Watu Wa Gaza sio kike ni kiume!!!!!
 
Back
Top Bottom