Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wewe unataka arushe ili iweje? anzishe tv yako au ile yenu ya CCM TBC-CCM na channel tenTunakumbushana tu na wala isiwe nongwa.
Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.
Sitashangaa kama mh Dr Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Waziri mstaafu atazuia kurushwa kwa mahojiano hayo ya akina Tundu Lisu yatakayokuwa mubashara.
Ki zama na kitabu chake
Maendeleo hayana vyama!
Hawezi kujitenga CCM ndiyo imemuweka hapoSemeni mmempa maelekezo asirushe hicho kipindi.
Meko kaharibu nchi na akili za watu.
Mama Samia jitenge na hili genge vinginevyo utaharibikiwa.
Upo sahihi. Hii ndio media iliyoamua kujitia kamba za miguu, mikono, mdomo, fikra na kuamua kufanya kazi kitumwa halisi.Mkuu nakubaliana na wewe. Kama Radioni tu, wanakata hata visehemu vya taarifa ya habari ambayo walikuwa hawajui kitasemwa nini, sembuse hicho kipindi ambacho wanajua kitakacho ongelewa!
Wapi nilipotaka arushe?Wewe unataka arushe ili iweje? anzishe tv yako au ile yenu ya CCM TBC-CCM na channel ten
Kulalamika kwako una maanisha nini?Wapi nilipotaka arushe?
Sidhani kama alikuelewa kwenye hilo bandiko lako!Wapi nilipotaka arushe?
Wapi nimelalamika?Kulalamika kwako una maanisha nini?
Umeshawakamata waliompiga risasi?Sawa tutamsikiliza lakini mwambieni arudi kwao, bado analazimisha ukimbizi tu!
Kaa kwa kutulia na usiingilie mambo ya watu.Wapi nimelalamika?
Wewe ndio utulie!Kaa kwa kutulia na usiingilie mambo ya watu
Akijibu nistueUmeshawakamata waliompiga risasi?
Alikuja kumkana mwishoni kwa kudai kuwa kupambana na Corona kupitia maombi ni ushirikina!LUMUMBA si ndio mfuasi wa nduli?
Akili za kindondochaTunakumbushana tu na wala isiwe nongwa.
Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.
Sitashangaa kama mh Dr Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Waziri mstaafu atazuia kurushwa kwa mahojiano hayo ya akina Tundu Lisu yatakayokuwa mubashara.
Ki zama na kitabu chake
Maendeleo hayana vyama!
Ulishawahi kuona wapi shetani ana rafiki wa kudumu?Alikuja kumkana mwishoni kwa kudai kuwa kupambana na Corona kupitia maombi ni ushirikina!
Ndiyo. Ni mfuasi lia lia. Alialikwa hadi Ikulu na Nduli na kumpa zawadi na alikuwa mbioni kupewa Uraia wa Tanzania. Professor mzima anajikomba kwa watawala makatili.LUMUMBA si ndio mfuasi wa nduli?
Aibu hakuona mnafiki na mwizi aje some TL!?Aibu kubwa sana hii yani mkenya anaenda kutetea mazuri yaliyofanywa katika nchi yako lakini wewe na akili zako timamu unaanda maneno ya kwenda kukashifu nchi yako uliyozaliwa.
Huyu jamaa TL naamini hata familia yake binafsi itakuwa inampuuza kinamna namna.
Wenye dstv tutaipatajeStar tv
Ni kashnz tu!Ndiyo. Ni mfuasi lia lia. Alialikwa hadi Ikulu na Nduli na kumpa zawadi na alikuwa mbioni kupewa Uraia wa Tanzania. Professor mzima anajikomba kwa watawala makatili.