Next on Straight Talk Africa: Tundu Lissu alongside Professor Lumumba - PLO

Next on Straight Talk Africa: Tundu Lissu alongside Professor Lumumba - PLO

..tatizo la Lissu ni kwamba he is one dimensional, yaani yeye ni MPAMBANAJI muda wote.

..huyu ni mtu ambaye ameshambuliwa akakaribia kufa. Wakati mwingine ilitakiwa alalamike, anung'unike, alie, ili aonewe HURUMA.

..sasa hiyo nature yake imewafanya baadhi yetu kuona kilichomtokea Tundu Lissu kama ni jambo la kawaida.

..Naamini hatujapata picha halisi ya nini kilimtokea Tundu Lissu; mapito na machungu aliyokutana nayo, na jinsi alivyopambana.

Kwa angle hii nimekuelewa. Acha tusubiri mjadale wenyewe,pengine tutapata picha halisi ya unachokiongea hapa.
 
Aibu kubwa sana hii yani mkenya anaenda kutetea mazuri yaliyofanywa katika nchi yako lakini wewe na akili zako timamu unaanda maneno ya kwenda kukashifu nchi yako uliyozaliwa.

Huyu jamaa TL naamini hata familia yake binafsi itakuwa inampuuza kinamna namna.
mtumeni chakubanga au kheri james kwa nafasi la Lumumba
 
Nimeona Lisu leo amejipanga kuchafua nchi .

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure
Hata ningekuwa mimi ningechafua tu, li nchi lililonipiga risasi 16 bado niendelee kulipaka rangi nzuri? Nehi. Ila nikwambie kitu msipende kuona ukweli ni kuchafua nchi mi nasubiri kusikiliza ya ukweli natabeba ya uongo natupa kule, kwa mfano watu waliaminishana hakuna korona wakati watu wanadondoka kwa wingi watawala wanajificha kwenye changamoto ya upumuaji
 
Nimeona Lisu leo amejipanga kuchafua nchi .

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure
Nini maana ya kuchafua nchi ?
 
Uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu sana. Kesho tutajua kama mama atafagilia uhuru huo ataendeleza uminywaji wa uhuru huo.
Mimi ninacho amini ,hata kama mama atakuwa na madhaifu namna gani,lakini kamwe hata kaa amfikie Jiwe kwa ukatilia aliotutenda.Kunaweza kuwa na mapungufu lakini hayawezi kufikia mapungufu ya regime iliyopita;Watu kuuwawa,watu kupotezwa,watu kupigwa risasi ,watu kutekwa,watu kubambikiwa kesi.Hayo yote yamefanyika bila hata uchunguzi wa kimagumashi kufanyika.Upendeleo wa waziwazi 'double standard',Ukabila na ukanda.Yaani maovu ya Jiwe ni mengi sana.Jiwe hajawahi kufuata hii katiba ya JMT wala sheria za nchi hata kwa asilimia 20% pamoja na mapungufu yote yaliyoko kwenye hiyo katiba.Kiufupi Jiwe alikuwa 'above the law'.Alikuwa juu ya mihimili yote mitatu!
 
Tunakumbushana tu na wala isiwe nongwa.

Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.

Sitashangaa kama mh Dr Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Waziri mstaafu atazuia kurushwa kwa mahojiano hayo ya akina Tundu Lisu yatakayokuwa mubashara.

Ki zama na kitabu chake

Maendeleo hayana vyama!
 
Tunakumbushana tu na wala isiwe nongwa.

Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.

Sitashangaa kama mh Dr Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Waziri mstaafu atazuia kurushwa kwa mahojiano hayo ya akina Tundu Lisu yatakayokuwa mubashara.

Ki zama na kitabu chake

Maendeleo hayana vyama!
atazuia dstv?
 
Tunakumbushana tu na wala isiwe nongwa.

Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.

Sitashangaa kama mh Dr Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Waziri mstaafu atazuia kurushwa kwa mahojiano hayo ya akina Tundu Lisu yatakayokuwa mubashara.

Ki zama na kitabu chake

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu nakubaliana na wewe. Kama Radioni tu, wanakata hata visehemu vya taarifa ya habari ambayo walikuwa hawajui kitasemwa nini, sembuse hicho kipindi ambacho wanajua kitakacho ongelewa!
 
Tunakumbushana tu na wala isiwe nongwa.

Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.

Sitashangaa kama mh Dr Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Waziri mstaafu atazuia kurushwa kwa mahojiano hayo ya akina Tundu Lisu yatakayokuwa mubashara.

Ki zama na kitabu chake

Maendeleo hayana vyama!
Mwanadamu huwa anajiandalia makao yake ya baadaye angali hai. Sasa kusubiri kuombewa baada ya kufariki, hilo ni tatizo.
 
Back
Top Bottom