Next on Straight Talk Africa: Tundu Lissu alongside Professor Lumumba - PLO

Next on Straight Talk Africa: Tundu Lissu alongside Professor Lumumba - PLO

Mama Samia alisema tufutane machozi. Hapo kinachotakiwa ni kumuuliza huyo anayelia, ni nini kinamliza. Kwa hiyo hata Lissu kwa yote hayo asemayo ni kwamba ana kilio kikubwa nafsini mwake kwa yule aliyemtenda jeuri ya kumpiga risasi au kuagiza apigwe risasi. Cha msingi siyo kumshangaa bali kukaa naye na kumuuliza anafikiri afutwajwe machozi. Ana maumivu makali sana moyoni kwa zile risasi. Uzuri ni kwamba mama Samia alikwenda hadi Hospitali Nairobi Kenya kumjulia hali Lissu.
 
Mbaya zaidi na kilaza utasikiliza eti!
Kwanin nisisikilize?!sema ntakuhitaji wewe mwerevu ili unifafanulie lugha ya malkia!!!!
Wote nawaelewa sielewi nimshabikie nan kati yao,Ila nahisi Kuna vitu watakubaliana Ila vingi watatofautiana!!!
 
Nimeona Lisu leo amejipanga kuchafua nchi .

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure

..Ni kwasababu waliojaribu kumuua Lissu ni Watanzania wenzetu.

..Waliomnyima matibabu ma haki zake bungenii Watanzania wenzetu.

..Wanaokataa kuchunguza na kuwakamata wahusika wa tukio lile ni Watanzania wenzetu.

..Wahusika wa hayo niliyoyataja hapo juu ndio wanaochafua taswira ya nchi yetu.

..Lissu hana makosa yoyote, anachokilalamikia kinajulikana kila pembe ya dunia. Jambo la kujiuliza ni kwanini hatendewi haki?
 
Hapa Tundu Lissu na professor Lumumba wanapatikana:
 
Kama ilivyokuwa 2015 kwa JPM ,sasa hivi tena Chadema wako bize kumsifia, kumfundisha na kumpa maelekezo mbalimbali Rais Samia bila kujua kuwa huyo ni rais anayetokana na ccm na anatekeleza ilani ya ccm.


Godbless Lema ,Tundu Lisu hawazungumzii kabisa maendeleo ya chadema wao ni bize kumpangia cha kufanya rais Samia. !

Tundu Lisu ni kaimu mwenyekiti wa chadema lakini hutakaa usikie akiiongelea wala kuitangaza chadema popote. Kwani haoni kaimu mwenyekiti wa ccm Philip Mangula anavyokinadi chama chake?

Tundu Lissu ni mtanzania lakini hutakaa usikie popote akizungumzia mazuri ya nchi yake ,yeye ni kuchafua tu nchi yake.
Wewe hapa ni mazuri mangapi ya nchi yako umeandika.

Kumsifu nduli ndiyo yalikuwa mambo mazuri ya nchi yako.

Shule umesomea upumbavu.
 
JAMANI NIONE WAPI MAHOJIANO???? STAR TV HAKUNA KITU WAPIIIII
 
Tundu Lisu ni kaimu mwenyekiti wa chadema lakini hutakaa usikie akiiongelea wala kuitangaza chadema popote.


"Kizuri chajiuza kibaya chajitangaza/chajitembeza"

----- si tumeona uchaguzi mkuu uliopita bila ya wizi na uhalifu wa kura kamwe CCM isingepita.
 
Back
Top Bottom