Na aliagiza eti viongozi wote Africa wafanye kama anavyofanya Jiwe. Ina maana anataka tuokote ndugu zetu ufukweni na kwenye viroba, wapotezwe, na wapigwe risasi mchana kweupeNi kashnz tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na aliagiza eti viongozi wote Africa wafanye kama anavyofanya Jiwe. Ina maana anataka tuokote ndugu zetu ufukweni na kwenye viroba, wapotezwe, na wapigwe risasi mchana kweupeNi kashnz tu!
Dhaifu sana!Mchaga na mpare wanawadharau sana waluguru nadhani hata kitaifa hili ni kabila dhaifu.
Pole na msiba!Nyie mfanyiwe Nini ili mkubali kua nyie ni nyumbu tu na hamto badilika chadema mnasubir kumnenepesha ngombe wakat wa kampen [emoji26][emoji26]
Tabia za kwenu huko, kupitia mdundiko!Kwa akili hizi haihitaji mashaka kujua kuwa mtoa post(wewe) ulibemendwa utotoni.
Hauko sawa kichwani
Mbaya zaidi na kilaza utasikiliza eti!Naona beberu mwenye akili kakutanishwa na Mwafrika mwenye akili!!sijui itakuwaje?
Kwanin nisisikilize?!sema ntakuhitaji wewe mwerevu ili unifafanulie lugha ya malkia!!!!Mbaya zaidi na kilaza utasikiliza eti!
Nimeona Lisu leo amejipanga kuchafua nchi .
Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.
Ni aibu kubwa kwa taifa letu
Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure
Wewe hapa ni mazuri mangapi ya nchi yako umeandika.Kama ilivyokuwa 2015 kwa JPM ,sasa hivi tena Chadema wako bize kumsifia, kumfundisha na kumpa maelekezo mbalimbali Rais Samia bila kujua kuwa huyo ni rais anayetokana na ccm na anatekeleza ilani ya ccm.
Godbless Lema ,Tundu Lisu hawazungumzii kabisa maendeleo ya chadema wao ni bize kumpangia cha kufanya rais Samia. !
Tundu Lisu ni kaimu mwenyekiti wa chadema lakini hutakaa usikie akiiongelea wala kuitangaza chadema popote. Kwani haoni kaimu mwenyekiti wa ccm Philip Mangula anavyokinadi chama chake?
Tundu Lissu ni mtanzania lakini hutakaa usikie popote akizungumzia mazuri ya nchi yake ,yeye ni kuchafua tu nchi yake.
Uvccm anaongozwa na Msiba+kheri James+sabaya atakuwa na uelewa kweli.Waalimu Wako walipata adhabu kubwa kukuelewesha.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Msiba wa taifaSasa mataga angeenda nani?
BASHITE?
Hawa star TV hawaoneshiPatamu hapo.
Tundu Lisu ni kaimu mwenyekiti wa chadema lakini hutakaa usikie akiiongelea wala kuitangaza chadema popote.