Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)


Acha ujuha,suala lolote linalohusu mishahara unaona inawahusu walimu, kwa nini usieme ya TRA?
 

Acha uongo wako mkuu....kumbuka kwamba Hawa Ghasia aliwahi kuwaambia walimu kwamba kama wanataka mishahara mikubwa wangechagua kazi nyingine......hii maana yake ni kwamba hata serikali imekariri kwamba walimu sio wa kulipwa mishahara minenen hata siku moja kwa sababu eti IDADI YAO NI KUBWA! What a f**k excuse from the shit government!
 
Mkuu mbona umeweka wazi mishahara ya walimu tu? Tuwekee na ya watumishi wengine wa serikali tufanye comparzn'
 
Ni haki yao walimu...wamedhalilishwa sana,wamesemwa sana,sasa mwezi wa saba utabadilisha historia ya mwl wa tz
 
Likely a creation. Tanzania yetu hii???+
 
Mkuu hii mishahara ya TZ hii au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…