JINSIA YAKO INANIPA WASIWASI:confused2:What i have discovered people are panicking lakini niwakumbushe tuu mi mwenyewe nimemaliza 2014 hadi sasa sijapata kazi lakini huyu kigogo niliyempata now najua kabisa nitapata kazi that why nimelileta huku lakini some mnakuja na Matusi na Kejeli siyo Poa!
mie natafuta mshirika tupige nae vi dili mbuzitupo wengi tusio na ajira
kwa wale wanaotafuta kazi
kuna hii android app, ina latest jobs in tanzania.
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.grabcityinfo.grabjob
share na mwezako.
mkuu si kila mtu anafaa kusaidia ... kama huyu anaropoka tu hajui impat yake baadae..... hajui anaweza kufuatiliwa na akapigwa china vile vile
mie natafuta mshirika tupige nae vi dili mbuzi
vina kipato si haba.inahusiana na chakula na vinywaji.
hazina ila ndiyo kawafunua vizuriKwani hizo taasisi zina reputation yeyote ile?
Tumshukuru kijana kawaumbua
Funguka mkuu, ni PM hiyo deal ikoje?
Kama wewe ni mtu wa kuona noma hutaiweza.
ni kitu kama baba lishe hivi,masupu,machipsi,
mitori na vinywaji juisi, soda, maji na kapombe.
sisi ndo wapishi na wahudumu.
Hapa wengi wanashindwa kwa kuwaogopa ma sista du.
Nita ku PMMimi siogopi sister duuz mkuu.
Tshs. 12,456,890/=
Hiyo ni certificate ama?