Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

hebu kadiria hapa,kuna kazi ya POSS 4 na taslim zikawa 464000 sasa hiyo itakuwa kama m moja au kasoro!
 
Msaada kwa anaefahamu viwango vya mishahara ya lab technician kwa chuo cha SUA
 
Wakuu habari zenu!

Naomba kujua kiasi cha pesa kwa salary scale ya PTSS 10-11. Nimeitwa kwenye usaili na wameonyesha ngazi hiyo ya mshara. Mods naomba msiichanganye hii thread na zile za zamani kwani huwa hazionyeshi ngazi hii ya mshahara. Asanteni!

Mshua
 
Habari zenu wakuu, SUA wametangaza nafasi za kazi zipo katika website yao. Anayefahamu viwango vyo halisi vya mishahara hatuambie.. mf. Treasury Registrar’s salaries Circular No. 6,7,8,9,10.. of 2015.
 
Habari zenu wakuu, SUA wametangaza nafasi za kazi zipo katika website yao. Anayefahamu viwango vyo halisi vya mishahara hatuambie.. mf. Treasury Registrar’s salaries Circular No. 6,7,8,9,10.. of 2015.

Dah asee hata mimi nlikuwa nataman nivifahamu hivyo viwango
 
Umetisha uliotujuza hapo juu naomba uweke update za mwaka huu according to GV scales kuanzia Julai 2015 ikoje?
 
wakuu nimepiga simu NACTE wakanifafanulia fresh kabisa kuwa Higher diploma ya ualimu ni sawa na nusu degree ya ualimu ambayo inatolewa kwa miaka miwili yaan NTA level 7 kisha ukitaka kusoma degree ambayo ni NTA level 8 utatakiwa kurudi darasani kwa mwaka mmoja..!!?

swali langu wana jamvi naomba mnisaidie kujua mshahara wa mwalim mwenye higher diploma.
 
Kwa taarifa nilizopewa ni kwamba mwalimu wa higher diploma ananza na laki 5 lakini take home ni laki 4 na kidogo wakati wa degree waliopangiwa mwaka huu wameanza na laki 6 huku take home ikiwa laki 5 na kidogo!
 
Hivi inakuwaje kwenye tangazo la kazi salary scale imeandikwa PGSS 8, lakini mkataba/barua ya kazi inaandikwa PGSS 5?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…