Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Habari wadau, kwa anayejua, nilitaka kujua TCAA salary scale 7 ni mshahara wa shilingi ngapi.

ahsante
 
jamani mkiwa mnaandika habari humu wekeni full details kama wasomi,Tanzania kuna taasisi nyingi za serikali na kuna mashirika mengi pia ya serikali na private sio rahisi kila mtu ajue hiyo TCAA ni nini?
mara mia ungesema TCAA NI NINI BASI? hata hivyo unaweza kwenda ofisini kwao ukaonana na mtumishi wa hao moja akakufafanulia
 
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...

==============
July 2014 UPDATE:


Yaani, I kant imajin!!!!!


hivi mimi sina aidia na scale za mishahara!halafu ninasali nipate kazi serikalini...lolz!

duh hivi wanaishije...! TGS D ni graduate huyo! Tunatarajia pia alipe deni lake la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu!


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…