yatima wa kitanzania
Member
- Jan 4, 2016
- 53
- 11
Uwezi kwa nchi yetu kuona wapiga pesa kubwa wakiwa nje ya watu kama Kovo,kama wana wanapataga viashili uvunjifu wa amani pindi UKAWA wakitaka kuandamana kudai katiba ya wananchi,kwa nini? wasijue viashilia vya upotevu wa MAKONTENA bandarin mimi nakubaliana kova anayajua makontena.