tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nami nlitaka kujua hivi Vyuo Vikuu, VETA, SIDO etc wao wanatumia scale zipi maana sizionagi hata wakizitaja kwenye matangazo yao ya kazi zaidi ya kusema mshahara mzuri kwa mujibu wa scale zao!!Kuna ngazi za,mishahara za parastal organizations ,PGSS, Hazipo humu,kama vile SIDO,VETA,VYUO VIKUU,TANESCO N.K,wenye kuzijua wazitupitie zote tena zile current kabisa
Mashirika wao mishahara yao hupangwa bodi zao kulingana na mapato ya shirika husika.nami nlitaka kujua hivi Vyuo Vikuu, VETA, SIDO etc wao wanatumia scale zipi maana sizionagi hata wakizitaja kwenye matangazo yao ya kazi zaidi ya kusema mshahara mzuri kwa mujibu wa scale zao!!
sawa kama wanapangiwa na bodi zao lakini nafkiri hata tujue hizo scale zao zinaitwaje, mfano VETA na SIDO scale zao ni zipi? ni hizo PGSS au zipi haswa?Mashirika wao mishahara yao hupangwa bodi zao kulingana na mapato ya shirika husika.
Mishahara wanayolipana NSSF haiwezi kuwa sawa na mishahara ya GPSA.
Hili jibu lake ndo limekosekana?Mishahara ya TSS 4 & 5 ni kiasi gani?
Na kila mtu humu anajifanya ni TISSHili jibu lake ndo limekosekana?
Hiyo sio TISS mkuu ni TSS
Vp ulipata kujua ni shilingi ngapi mkuu?PTSS 10-11 ni bei gani wakuu?
980,000 basicnisaidiwe katibu afya akiwa anaanza analipwa kiasi gani?? saivi
Ulibahatika kupata kazi huko TBC.?Anayefahamu mshahara wa Parastal Government Salary Scale 5 (PGSS 5)kwenye shirika la Utangazaji Tanzania TBS ni kiasi gani??
Nawasilisha
Hapo ndo kwenye kazi,kikubwa uvumilivu na kuhipenda kazi.mishahara ya gavamenti ni midogo hivi?
sasa ukiwa dar utaishije?
Ngazi ya mshahara mkuu🤔🤔Laz Auto Car wash inatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenyewe uzoefu wa kazi ya kuosha magari. Waadilifu,wachapakazi,watiifu na wenye uzoefu.
Laz Auto Car wash inapatikani Kinondoni nyuma ya Best Bites ya Namanga.
Piga simu Na. 0717 26 33 77