Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Hizo ni 1.3M na 1.5M
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAADA YA MAKATO IYO MKUUHizo ni 1.3M na 1.5M
Ndio mkuuBAADA YA MAKATO IYO MKUU
TRC hapohabari wana jamvi wa jf, naombeni kufahamu mishahara kwa trcs3 na trcs 4.
asanteni
sema kama kweli nina wana wantaka kujuaHizo ni 1.3M na 1.5M
Waambie hao Wana,waache mbwembwe.Waende kwny interviewsema kama kweli nina wana wantaka kujua
wataendaWaambie hao Wana,waache mbwembwe.Waende kwny interview
Hahahaaa!Waambie hao Wana,waache mbwembwe.Waende kwny interview
Motivational speakers wakija hapa watakwambia hela ndogo Sana hio,Ni Bei ya Hennessy hio.deeboyfrexh duuu mbon ela nyingi sanaa mkuu
😄😄 Sasa jiandae kwny kikao Cha familia dogo ataanza kusikilizwa kuliko wewe na atakua role model wa kila mtu kwny familia,Hahah.Nazingua mkuu,muombee dogo heri.ukiwachunguza kwa ground maisha yao magumu sanaaaa...hizo nilizotaja ni level za diploma kuna mdogo wang kachaguliwa iyoo naona atanizidi mkuu alafu zitakuwa dharau mm na degree yangu sipati mshahara uo aiseee
pia mwenye fresh lonja ya pccbHivi wakuu viwango vya mishahara vya pccb vinakuwaje kwa investigation officer na assistant investigation officer?
Au huwa wanalipwa kutokana na fani?
Dar hatuishi kwa mishaharamishahara ya gavamenti ni midogo hivi?
sasa ukiwa dar utaishije?
Dar kuna fursa za uchawaDar hatuishi kwa mishahara
Ni akili tu