Parrot_2024
Member
- Dec 16, 2017
- 63
- 28
Haha nani kakwmbia ni 16 naona unakariri sana maisha endelea kukariri kwanza post syo 16 tu alafu...watu wengi nowajuwa ni wa hali ya chini sana wapo kwenye mataasisi nyeti kwa hyo ww endelea kukariri maisha na kujirudisha nyuma siko kma ww mxeeewHiyo post unayotaka kuomba hapa TPA zote 16 tayari zina watu.
Pole dada yangu