Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #181
Hiyo cartoon nadhani ilikuwa mwaka2011 hiviNdio hio, Anatulia.
Kirikou anamafanya kama farasi na safari yake anampeleka
ila baada ya kumshusha tu akaanza tena kumfukuza ๐ ๐ ๐
๐น๐น๐นHuyu ndo mtunzi wa hakuna matata,.... kwenye ile LION KING
Mi namjua kwa utamu tuu nyama yake wee acha tuu ukiibanikaKwa siku za Hivi karibuni ukipita kwenye mitandao ya kijamii utakuta huyu Mnyama anasema Kwa utani hasa speed yake.
Sasa Kuna wimbo wake sijui ni kabila Gani na una maana gani Kwa anayejua anaweza kutuambia maana ya =>Kasongo yeyeeeee mombali nangai, kasongoooo mbona weooo songa limala
oooohhh yeyeyeee. Kasongo mbona weooo, mbona weeeeooooooo.๐๐.
Pia Kuna baadhi ya page wanasema Hivi๐๐๐น๐น๐น
When scientists were ranking animals, the warthog was in his holes so they ended up crowning the wrong guys. King of the jungle title went to the lion and fastest went to the cheetah but both titles belong to the hog.
Third title for the warthog is for reverse parking. Dude can reverse into a hole in the middle of a high speed chase ๐๐คฃ acceleration from zero is like a race car and brakes are instant.. i think its time we crown the right champions with all fairness.. if a cheetah can chase a hog and fail to catch it then we have a new champion, the V16 bi-turbo 6.5L AMG engine ๐คฃ
Sasa ukweli ni upi? Nahitaji kujua zaidi kuhusu huyu Mnyama.
Nimewaona sana Kisarawe Pwani
View attachment 3124447wanasema Kwa Sasa ndoThe king of the jungle ๐๐View attachment 3124449Binafisi nafurahi sana pindi niliona clip zake jinsi anavyokimbia!!
View attachment 3124446
Nimewawekea na clips
Haha mtoto Iddy kazua balaa by Juma NatureHuyu kwa hapa mtaani tungemwita chausiku wa hapa uswazi ,yeye kukaa bila kustana ni dhambi
๐๐๐ nimeona hyo clip ya kumrushia mamba mchangaโฆafu akakimbiaKuna vituko vingine anafanyaga akiona kaboreka anatafuta walipo pundamilia au nyumbu halafu anaanza kuwarushia mchanga. Siku akaona haitoshi akaenda mtoni kabisa kakuta mamba kalala zake akaanza kumrushia mchanga afu akatimua mbio
Vizuri sana.....sikuwa kumla na huku siwezi mpata Tena.Mi namjua kwa utamu tuu nyama yake wee acha tuu ukiibanika
Yeah utasikia mwendo wa ngiri bro ๐น๐นMbio za ngiri mkia juu kinyyyeo nje...
Kwahiyo huyu anafugwa? Walio tupiwa mapepo si ni nguruwe mkuuTangu atupiwe mapepo hajawahi kutulia
Panda si huyu mkuu๐ผPilika za Mr. Warthog a.k.a Panda au ngiri ni kama za mtoto Iddy kazua balaa wa Juma Nature๐คฃ๐คฃ
Ngiri wa pori mkuu. Huyu huyu tuliyoweka picha zake ndo tuna mzungumzia yeyeMe sijaelewa. Hivi ni ngiri yupi na pori gani?
Mbona mada kama imekaa kimafumbo fumbo hivi!
Yes nilichanganya mkuu. Asante kwa kunishtuaPanda si huyu mkuu๐ผ
PamojaYes nilichanganya mkuu. Asante kwa kunishtua
Haha mkuu Acha ubishi bhasi, jamaa amekupa mpaka na jina la nguruwe pori ili ukitaka uthibitishe upitie humo lakini bado tu unakazia. Kiufupi nyama zao hazitofautiani sana kati ya boar/ wild swine (nguruwe pori) na warthog (ngiri) zote ni nyekundu sana na zina mafuta. Wengi mmekuwa mkichanganya hawa wanyama wa aina mbili. All in all wanatoka kwenye kingdom mojaAcha ubishi huyo ni nguruwe pori tuliomla tunajua ngozi sio pana sana ,nyama mpk harufu ya nguruwe na mafuta anayo
Haiondoi maana kuwa wote ni nguruwe mkuu tuelewaneHaha mkuu Acha ubishi bhasi, jamaa amekupa mpaka na jina la nguruwe pori ili ukitaka uthibitishe upitie humo lakini bado tu unakazia. Kiufupi nyama zao hazitofautiani sana kati ya boar/ wild swine (nguruwe pori) na warthog (ngiri) zote ni nyekundu sana na zina mafuta. Wengi mmekuwa mkichanganya hawa wanyama wa aina mbili. All in all wanatoka kwenye kingdom moja
View attachment 3126249View attachment 3126248