Ngiri (Warthog ): Naomba wataalamu watueleze Kwa kina kuhusu huyu Mnyama

Ngiri (Warthog ): Naomba wataalamu watueleze Kwa kina kuhusu huyu Mnyama

Kwa siku za Hivi karibuni ukipita kwenye mitandao ya kijamii utakuta huyu Mnyama anasema Kwa utani hasa speed yake.

Sasa Kuna wimbo wake sijui ni kabila Gani na una maana gani Kwa anayejua anaweza kutuambia maana ya =>Kasongo yeyeeeee mombali nangai, kasongoooo mbona weooo songa limala
oooohhh yeyeyeee. Kasongo mbona weooo, mbona weeeeooooooo.๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.

Pia Kuna baadhi ya page wanasema Hivi๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

When scientists were ranking animals, the warthog was in his holes so they ended up crowning the wrong guys. King of the jungle title went to the lion and fastest went to the cheetah but both titles belong to the hog.

Third title for the warthog is for reverse parking. Dude can reverse into a hole in the middle of a high speed chase ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ acceleration from zero is like a race car and brakes are instant.. i think its time we crown the right champions with all fairness.. if a cheetah can chase a hog and fail to catch it then we have a new champion, the V16 bi-turbo 6.5L AMG engine ๐Ÿคฃ

Sasa ukweli ni upi? Nahitaji kujua zaidi kuhusu huyu Mnyama.

Nimewaona sana Kisarawe Pwani

View attachment 3124447wanasema Kwa Sasa ndoThe king of the jungle ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚View attachment 3124449Binafisi nafurahi sana pindi niliona clip zake jinsi anavyokimbia!!

View attachment 3124446
Nimewawekea na clips
Mi namjua kwa utamu tuu nyama yake wee acha tuu ukiibanika
 
Kuna vituko vingine anafanyaga akiona kaboreka anatafuta walipo pundamilia au nyumbu halafu anaanza kuwarushia mchanga. Siku akaona haitoshi akaenda mtoni kabisa kakuta mamba kalala zake akaanza kumrushia mchanga afu akatimua mbio
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nimeona hyo clip ya kumrushia mamba mchangaโ€ฆafu akakimbia
 
Acha ubishi huyo ni nguruwe pori tuliomla tunajua ngozi sio pana sana ,nyama mpk harufu ya nguruwe na mafuta anayo
Haha mkuu Acha ubishi bhasi, jamaa amekupa mpaka na jina la nguruwe pori ili ukitaka uthibitishe upitie humo lakini bado tu unakazia. Kiufupi nyama zao hazitofautiani sana kati ya boar/ wild swine (nguruwe pori) na warthog (ngiri) zote ni nyekundu sana na zina mafuta. Wengi mmekuwa mkichanganya hawa wanyama wa aina mbili. All in all wanatoka kwenye kingdom moja
images.jpeg
Ryan Kilpatrick.jpg
 
Haha mkuu Acha ubishi bhasi, jamaa amekupa mpaka na jina la nguruwe pori ili ukitaka uthibitishe upitie humo lakini bado tu unakazia. Kiufupi nyama zao hazitofautiani sana kati ya boar/ wild swine (nguruwe pori) na warthog (ngiri) zote ni nyekundu sana na zina mafuta. Wengi mmekuwa mkichanganya hawa wanyama wa aina mbili. All in all wanatoka kwenye kingdom moja
View attachment 3126249View attachment 3126248
Haiondoi maana kuwa wote ni nguruwe mkuu tuelewane
 
Back
Top Bottom