Exactly yes. Ni mtunzaji mzuri wa mazingira. Lakini pia ni hulka (instict)yake hiyo.Honey badger nasikia hata haja kubwa huwa hajisaidii hovyo,kama ni Temeke ni huko huko,hata akibanwa akiwa Kimara anaweka furushi la majani kuziba isitoke anarudi Temeke kujisaidia,ukitaka kuprove hili nenda sehemu anapojisaidia lazima ukutane na mafurushi ya majani yaliosokotwa...
Yeah. Wanazingatia kikamilifu ule msemo "ama zako ama zangu"Nahisi hivyo mara zote walikuwa na kundi la mbwa na mikuki.
Niliona nyani kamwaga utumbo wa mbwa kama utani asee zile kucha na meno ni hatari sana akiwa anatetea uhai wake.
Ni kweli.Kuhusu Hilo sijui ila najua anaye fanya hivo Mnyama fln anaitwa fungo.
π π π Tufanye nguruwe wapo aina tatu wakisasa ,hao wako na Ngiri pori wote jamii mojaSawa jomba. Nimeacha ubishi.
Nyama ya khanga na ya kuku zinafanana, kwa hiyo khanga ni kuku pori.
Chimpanzee anafanana na binadamu, kwa hiyo chimpanzee ni binadamu pori.
Mende akichomwa moto hutoa harufu kama ya kumbikumbi, basi kumbikumbi ni mende wa kwenye kichuguu
Kama una uelewa wa classification, hasa kutoka family hadi species, angalia scientifc names za hawa viumbe.π π π Tufanye nguruwe wapo aina tatu wakisasa ,hao wako na Ngiri pori wote jamii moja
Hio πππ ni Homework ya kumtosha. Hatarudia tena kutoa majibu rahisi kivile.Kama una uelewa wa classification, hasa kutoka family hadi species, angalia scientifc names za hawa viumbe.
War-thog maana yake mtu wa vita purukushani na shariHuyu mwamba kabisa mwite
- v16 turbo engine (naye ataitika)
-The new king of savanna (atageuka)
-The most handsome king in the jungle (atakuangalia na kutabasamu)
-The king of reverse parking
- The king of showoff
Oyaaa wee! Huyu mwamba achana naye anauwezo wa kutimua vumbi mpaka kwenye tope.
Anaweza akawa anakimbizwa na adui gafla akaona chakula anachokipenda akapiga break Kwa dharau akaaza kukila then akiona umemkaribia anatoka na speed 120β’5 mpka upepo wa eneo Hilo unachange direction.
Kuna mda kichwa chake kikichachuka Huwa haogopi mnyama wa aina yoyote Ile yaani hata Simba na chui siku iyo wanakimbizwa.
Pia hyu mwamba kila sehem anayokula Huwa anahakikisha Pana shimo la imejezi karbu na eneo Hilo ili lolote likitokea na siku hiyo hataki fujo za kukimbizana bas anaenda anachil kwenye shimo huku akikuangalia Kwa dharau.
Oya huyo mwamba anasifa nyingi sna
Huyo ndio mr warthog
Waw! Sio kwamba warthog naye alikuwa anajilipizia kisasi kwa chui? Simba naye hovyo sana. Simba alitakiwa amwache warthog kwani alimtia shime kwenye pambano. Ila ndo hivo tena. Simba angelimwacha warthog, isingekuwa vyema kwani huenda siku hiyo simba angelishinda njaa na ukizingatia Riziki haiji mara mbili. Simba alifanya maamuzi sahihi japo magumu.Huyu warthog ni kiazi sana,kuna clip moja alikua amekamatwa na chui,simba akawa ametokea akaanza kupigana na chui ili amnyang'anye kitoweo. Sasa ikabidi chui amuachie warthog wakati anapigana na simba, ajabu sasa warthog alivyoachiliwa na chui badala ya kukimbia nae akaingilia ugomvi akaanza kumtandika vichwa chui eti anamsaidia simba. Chui ikabidi akimbie halafu simba akamkamata warthog akamtafuna.
Oyaa huyo mwamba mda mwingi anautumia ktk vurugu, vitimbwi na purukushan hanaga mda wa kupumzkaWar-thog maana yake mtu wa vita purukushani na shari
Kama kule Middle East auWar-thog maana yake mtu wa vita purukushani na shari
Nini "Cha kupumzikia" ilhali maisha yenyewe ndo haya-haya?Oyaa huyo mwamba mda mwingi anautumia ktk vurugu, vitimbwi na purukushan hanaga mda wa kupumzka
πππNini "Cha kupumzikia" ilhali maisha yenyewe ndo haya-haya?
Tunaita hivyo kwa vile akili zao vinafanana , ukimshika sikio wote wote wanatulia ...Hii ni misconception iliyotokana na kujua Δ·uwepo kwa nguruwe pori. Watu wanafikiri nguruwe pori ndiyo ngiri.
Ukweli ni kuwa ngiri (Warthog) sio nguruwe pori. Na Boar (nguruwe pori) sio ngiri. Boar ukigoogle picha zake, utaona ni nguruwe kabisa.
Haya bro. kajaribu, ss tuko pale tunataka tukuone.Tunaita hivyo kwa vile akili zao vinafanana , ukimshika sikio wote wote wanatulia ...
Nina familia siwezi kumsogelea π π πHaya bro. kajaribu, ss tuko pale tunataka tukuone.
Alaaa!? Si unamshika sikio tu atatulia na uweze kupiga selfie.Nina familia siwezi kumsogelea π π π