Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ikitokea unajitia hasira kwa uharibifu alofanya eti unamkimbiza , mwanzoni atakimbia japo kwa kiburi fulani hv lakini baadaye ghafla anakugeuzia kibao. Lazima upande kwenye mti uliokaribu zaidi vinginevyo utajifunza yale meno yaliyojitokeza kama pembe yana kazi gani.Ndo wenge hilo. Ngiri kichwa kipo speed, hakipo sawa.
Haka kadude ndio kana speed kubwa, ila kanazidi kuonekana na speed kutokana na ufupi wake,
Sifa nyingine ni kachokozii..
Clip nyingi tuu utakaona kanavizia simba, chui n.k kanawashtua mda mwingine kuwapiga pembe halafu kanatoka nduki, ndio watu wanasema eti kanafanya vile kutest turbo yake kama iko sawaa..
Pia kanatabia ya kusahau sanaa,
Pia hakakubari unyonge, clip utakaona kanakimbizwa kakiochoka kanakugeuzia kibao, kenyewe nyuma wewe mbele.
Hapa chui walikua wanakunywa maji kakapita nao
View: https://youtu.be/9LYOZFQIk_Y?si=ZCWtk4hLIA5PndA5
Hapa Simba wamelala, kakaenda kuwatest
View: https://youtu.be/PYdn_EoXgn4?si=vOUBdYa5GwVJD1fG
Hapa chui anawinda mzigo wake kenyewe kanamfuatq nyuma kumchokoza, windo likapotea chui akabahi haelewi
View: https://youtu.be/lBPLLgJumU4?si=HlHug30azITGLi2n
Hapa kamekimbizwa na Chui kufika mbele kakamgeuzia kibao
View: https://youtube.com/shorts/flYz2O6iSXk?si=hiBnCEJpgKH_iyaI
View: https://youtube.com/shorts/DjUs0irk1_A?si=r49i9Xa1l9xLmcCK
Hapa chui Wakigeuziwa kibao
View: https://youtu.be/Oyhk6kRAJW0?si=BAf42w-PZSG4Ezh5
Hapa katoto kamewakaziq simba wawili, wakashindwa kakasepa.
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyUMH6y/
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyU2QNf/
Hapa akiwatest chui wakiwa wamelala kama turbo engine ipo sawa?
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyDo1Ua/
Hapa Simba ni kama babu yake, kanamla vichwa.
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyUucwY/
Hapa Akimuashia simba indicator
Kuna nyingine ngoja niitafute, Chui aliwavizia, yupo katikati ya speed yake kuwafikia, nao wakatoka nduki kumfuata, Chui aligeuka windo mwenyewe.
Haka kadude ndio kana speed kubwa, ila kanazidi kuonekana na speed kutokana na ufupi wake,
Sifa nyingine ni kachokozii..
Clip nyingi tuu utakaona kanavizia simba, chui n.k kanawashtua mda mwingine kuwapiga pembe halafu kanatoka nduki, ndio watu wanasema eti kanafanya vile kutest turbo yake kama iko sawaa..
Pia kanatabia ya kusahau sanaa,
Pia hakakubari unyonge, clip utakaona kanakimbizwa kakiochoka kanakugeuzia kibao, kenyewe nyuma wewe mbele.
Hapa chui walikua wanakunywa maji kakapita nao
View: https://youtu.be/9LYOZFQIk_Y?si=ZCWtk4hLIA5PndA5
Hapa Simba wamelala, kakaenda kuwatest
View: https://youtu.be/PYdn_EoXgn4?si=vOUBdYa5GwVJD1fG
Hapa chui anawinda mzigo wake kenyewe kanamfuatq nyuma kumchokoza, windo likapotea chui akabahi haelewi
View: https://youtu.be/lBPLLgJumU4?si=HlHug30azITGLi2n
Hapa kamekimbizwa na Chui kufika mbele kakamgeuzia kibao
View: https://youtube.com/shorts/flYz2O6iSXk?si=hiBnCEJpgKH_iyaI
View: https://youtube.com/shorts/DjUs0irk1_A?si=r49i9Xa1l9xLmcCK
Hapa chui Wakigeuziwa kibao
View: https://youtu.be/Oyhk6kRAJW0?si=BAf42w-PZSG4Ezh5
Hapa katoto kamewakaziq simba wawili, wakashindwa kakasepa.
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyUMH6y/
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyU2QNf/
Hapa akiwatest chui wakiwa wamelala kama turbo engine ipo sawa?
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyDo1Ua/
Hapa Simba ni kama babu yake, kanamla vichwa.
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyUucwY/
Hapa Akimuashia simba indicator
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyUDo5s/
Akitest turbo
Kuna nyingine ngoja niitafute, Chui aliwavizia, yupo katikati ya speed yake kuwafikia, nao wakatoka nduki kumfuata, Chui aligeuka windo mwenyewe.
Yeah! Yupo smart ujue. Hiyo ni ili kama adui atazidi kujileta karibu, yy hutoka chap' kwa speed ya 5G na kwa yale meno yake lazima akutie jeraha 3-5 inches deep na endapo atakutaim' vizuri atamwaga utumbo wako chini. Kaa mbali.Bado style yake kuingia kinyume nyume
Ningekua na kiwanda cha magari ningetembea na huu upepo! Gari ningedizain vizur kwa Brand name "warthog" alafu inapigwa marketing hiyo mbona watu wangeushambulia huo mzigo..Huyu mwamba kabisa mwite
- v16 turbo engine (naye ataitika)
-The new king of savanna (atageuka)
-The most handsome king in the jungle (atakuangalia na kutabasamu)
-The king of reverse parking
- The king of showoff
Oyaaa wee! Huyu mwamba achana naye anauwezo wa kutimua vumbi mpaka kwenye tope.
Anaweza akawa anakimbizwa na adui gafla akaona chakula anachokipenda akapiga break Kwa dharau akaaza kukila then akiona umemkaribia anatoka na speed 120•5 mpka upepo wa eneo Hilo unachange direction.
Kuna mda kichwa chake kikichachuka Huwa haogopi mnyama wa aina yoyote Ile yaani hata Simba na chui siku iyo wanakimbizwa.
Pia hyu mwamba kila sehem anayokula Huwa anahakikisha Pana shimo la imejezi karbu na eneo Hilo ili lolote likitokea na siku hiyo hataki fujo za kukimbizana bas anaenda anachil kwenye shimo huku akikuangalia Kwa dharau.
Oya huyo mwamba anasifa nyingi sna
Huyo ndio mr warthog
Nimejaribu kumfuatilia yupo haswa nakuwa napata sifa mbili Kwa mzungumzaji huyu mara yule nae anasema sifa kadhaa. Kwakweli huyu Mnyama naona ndo anavituko kuliko woteHuyu jamaa kitu anawashinda wanyama wengine ni Intelligence pamoja na takeoff speed. Ila max speed ya warthog ni ndogo kulikp max speed ya simba na chita.
Ana imteëligence ya hali ya juu sana.. anaweza fake kwamba kaumia na akatembea kwa kuchechemea kumbe zuga tuu,
Ana sense ganger haraka sana..
Kumbe Yale meno ni hatari vile. Nilikuwa naona kama hayatumii sana vile yamechomoza Kwa Nje!!Yeah! Yupo smart ujue. Hiyo ni ili kama adui atazidi kujileta karibu, yy hutoka chap' kwa speed ya 5G na kwa yale meno yake lazima akutie jeraha 3-5 inches deep na endapo atakutaim' vizuri atamwaga utumbo wako chini. Kaa mbali.
Mnaruhusiwa kumla ngiri?Nguruwe huyo , vurugu zake ni noma ..Anaweza kusafisha vichaa vyote akikasirika , kama utampiga kwa bastola basi panda juu ya mti na asikuone ...
Kwani huyo mwamba sio kati ya wale wanyama kwenye list ya "Haram"Ningekua na kiwanda cha magari ningetembea na huu upepo! Gari ningedizain vizur kwa Brand name "warthog" alafu inapigwa marketing hiyo mbona watu wangeushambulia huo mzigo..
Kabisa asee.kakubalika sana huyu jamaa Kwa sasaNingekua na kiwanda cha magari ningetembea na huu upepo! Gari ningedizain vizur kwa Brand name "warthog" alafu inapigwa marketing hiyo mbona watu wangeushambulia huo mzigo..
Pwani analiwa sana tu. Mimi sikumla maana ndo ilikuwa mara ya kwanza kumuona live na vile alivyo Sasa sikushawishika hata kumla!!Mnaruhusiwa kumla ngiri?
Weee! Waulize wanaowinda au kujaribu kumfukuza huyo mwmba kwa kutumia mbwa. Ni fasta mbwa wako atakuwa utumbo unaning'inia nje.Kumbe Yale meno ni hatari vile. Nilikuwa naona kama hayatumii sana vile yamechomoza Kwa Nje!!
Huyo ni nguruwe.Mnaruhusiwa kumla ngiri?
Haka kadude ndio kana speed kubwa, ila kanazidi kuonekana na speed kutokana na ufupi wake,
Sifa nyingine ni kachokozii..
Clip nyingi tuu utakaona kanavizia simba, chui n.k kanawashtua mda mwingine kuwapiga pembe halafu kanatoka nduki, ndio watu wanasema eti kanafanya vile kutest turbo yake kama iko sawaa..
Pia kanatabia ya kusahau sanaa,
Pia hakakubari unyonge, clip utakaona kanakimbizwa kakiochoka kanakugeuzia kibao, kenyewe nyuma wewe mbele.
Hapa chui walikua wanakunywa maji kakapita nao
View: https://youtu.be/9LYOZFQIk_Y?si=ZCWtk4hLIA5PndA5
Hapa Simba wamelala, kakaenda kuwatest
View: https://youtu.be/PYdn_EoXgn4?si=vOUBdYa5GwVJD1fG
Hapa chui anawinda mzigo wake kenyewe kanamfuatq nyuma kumchokoza, windo likapotea chui akabahi haelewi
View: https://youtu.be/lBPLLgJumU4?si=HlHug30azITGLi2n
Hapa kamekimbizwa na Chui kufika mbele kakamgeuzia kibao
View: https://youtube.com/shorts/flYz2O6iSXk?si=hiBnCEJpgKH_iyaI
View: https://youtube.com/shorts/DjUs0irk1_A?si=r49i9Xa1l9xLmcCK
Hapa chui Wakigeuziwa kibao
View: https://youtu.be/Oyhk6kRAJW0?si=BAf42w-PZSG4Ezh5
Hapa katoto kamewakaziq simba wawili, wakashindwa kakasepa.
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyUMH6y/
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyU2QNf/
Hapa akiwatest chui wakiwa wamelala kama turbo engine ipo sawa?
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyDo1Ua/
Hapa Simba ni kama babu yake, kanamla vichwa.
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyUucwY/
Hapa Akimuashia simba indicator
View: https://vm.tiktok.com/ZMhyUDo5s/
Akitest turbo
Kuna nyingine ngoja niitafute, Chui aliwavizia, yupo katikati ya speed yake kuwafikia, nao wakatoka nduki kumfuata, Chui aligeuka windo mwenyewe.
Sasa usiombee kabananishwe, hilo Yowe lake, kama sio kenyewe vile.
Mang'ati na wasukuma kule pwani walikuwa Wana waua Kwa mbwa lakini walikuwa wanatumia hasa mikuki mara kadhaa nimewasadia kumbeba Hadi kambini wateja wanakuja kuchukulia pale.Weee! Waulize wanaowinda au kujaribu kumfukuza huyo mwmba kwa kutumia mbwa. Ni fasta mbwa wako atakuwa utumbo unaning'inia nje.
Wazaramo wengi wao kama sio wote ni waislamu ndo walikuwa wateja wakuu wa huyu mnyama
Hii ni misconception iliyotokana na kujua ķuwepo kwa nguruwe pori. Watu wanafikiri nguruwe pori ndiyo ngiri.Huyo ni nguruwe.