Ng'ombe mwenye thamani ya IST

Ng'ombe mwenye thamani ya IST

Uzitowake si chini ya kilo 1,000 yaani tani moja.
Umenikumbusha Kikwete alikwenda Zimbabwe akashangaa kuona ng'ombe anauzito unaozidi tani moja, mpaka anaondoka madarakani hakuiwezesha nchi iwe na ng๐Ÿ˜ฑmbe wa aina hiyo, hapo ndipo utaona ziara zao huwa kwa manufaa yao tu.
Nenda arusha Kuna ranch ipo USA river pale ngombe Wana tani 1 na zaidi, usiongee usichokijua
 
Hongera sana Bwana Urio nimeupenda sana mradi wako. Naomba nijulishwe bei ya mbwa moja ni kiasi gani na wastani wa gharama ya matunzo yake kwa mwezi. Ninataka kuachana na ulinzi wa Makampuni ambao wananitoza gharama kubwa ya ulinzi. Ikiwezekana nipate namba yako ya mawasiliano.
โœ…๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Inawezekana mkuu. Ingia mtandaoni uone wsnavuonufaika wafugaji wa huko "dunianai"
Umesema duniani
Sasa huko siko mkuu
Nimekulia kwenye mifugo na ninaijua sana na ninaifuatilia kwa ukaribu sana
Wapo wawekezaji wamehama nchi zao kama wakenya na wameenda Botswana unapewa ardhi na unaweka Ranch yako sio ka ng'ombe kamoja
Pia Namibia kuna matajiri wakubwa wana hectares 9000
Mkuu kama una hela huko ndio pa kuwekeza Botswana au Namibia
Unachungwa na patrol ni 24 hours na kama kuna kitu ni simu moja tu police hawa hapa
Madawa ni ya uhakika ni mengi yako huko ila kwa Tanzania ni wachache sana wenye utajiri huo wa mifugo
Kuwekeza wenzetu wameanza zamani sana kuwa na ng'ombe wa kizungu na Boran asili yao ni Ethiopia, Kenya na Somalia
Ila sisi walikuwepo ila wachache sana hata mbuzi wa Boer na kondoo wakubwa wa Somalia ndio wameletwa miaka ya karibuni
Mbuzi ana 100 kg Boer wakati wetu ni nusu yake
 
Hongera sana Bwana Urio nimeupenda sana mradi wako. Naomba nijulishwe bei ya mbwa moja ni kiasi gani na wastani wa gharama ya matunzo yake kwa mwezi. Ninataka kuachana na ulinzi wa Makampuni ambao wananitoza gharama kubwa ya ulinzi. Ikiwezekana nipate namba yako ya mawasiliano.
โœ…๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Ufugaji unalipa, ila sio rahisi kama mwamba anavochukulia.
Inataka uwe nao hapo hapo mkuu kuna jamaa mmoja ametoka ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ karudi nyumbani Uganda anajiita Valuefarm
Nimemfuatilia tangu anaanza kununua ardhi mile 76 toka Kampala
Anasema changamoto ni nyingi ila moja ambayo ilinishtua na amejifunza kutokuwa na wauguzi toka nje yaani wa kuja kuwatibu aliwatumia sana ila kuna wengine sio wazuri wanapewa hela na mahasimu ili wawachome mifugo sumu
Sasa ana waganga wake mwenyewe na anawalipa vizuri
Jamaa kajiendeleza taratibu alianza na Mbuzi tu
Yupo YouTube anauza pia pure
Huyo sio motivation speaker bali a napambana haswa
 
Boran bull anapatikana SA mnadani anauzwa kuanzia rand 2m kuendelea mpaka 3m pana mfugaji mmoja wa Arusha miaka ya nyuma alimnunua nadhani haikupungua 60m kwa kipindi hicho ila gharama ya kupandisha ng'ombe kwake ipo juu sana inaendana na gharama za kumtunza huyo Boran bull..
โœ…๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Ningewaomba kitu kimoja hii mifugo ipo ya aina tofauti tofauti, ila ni kweli unakuta Ngombe, Mbuzi ,kondoo nk wapo wa ukubwa tofauti tofauti shida inakuja sasa unapo mmiliki juu ya matunzo tunampatiaje ili kupata matokeostahiki? hii miradi kila tunapo taka kuianza inatupasa kufanya upembuzi yakinifu kwa kina, maana swala la malisho na madawa stahiki kwa muda maalumu hilo ndio changamoto kubwa sana kwetu.
Mfano utampokea Ngombe toka huko aliko toka akiwa na Kg kiasi flani na Maziwa labda huwa alikuwa anatoka kiasi flani je una mpatia chakula inavyo takikana na virutubisho vya kumtosheleza? na ukiambiwa sasa inatakiwa penistrep na vatamin na makolo kolo mengine kama laki 3 hivi wakati hajaanza kukupa hizo lita unatoa? Kwakweli ufugaji una hitaji uvumilivu na kujitojea sana.
Lakini unalipa sana!
 
Umesema duniani
Sasa huko siko mkuu
Nimekulia kwenye mifugo na ninaijua sana na ninaifuatilia kwa ukaribu sana
Wapo wawekezaji wamehama nchi zao kama wakenya na wameenda Botswana unapewa ardhi na unaweka Ranch yako sio ka ng'ombe kamoja
Pia Namibia kuna matajiri wakubwa wana hectares 9000
Mkuu kama una hela huko ndio pa kuwekeza Botswana au Namibia
Unachungwa na patrol ni 24 hours na kama kuna kitu ni simu moja tu police hawa hapa
Madawa ni ya uhakika ni mengi yako huko ila kwa Tanzania ni wachache sana wenye utajiri huo wa mifugo
Kuwekeza wenzetu wameanza zamani sana kuwa na ng'ombe wa kizungu na Boran asili yao ni Ethiopia, Kenya na Somalia
Ila sisi walikuwepo ila wachache sana hata mbuzi wa Boer na kondoo wakubwa wa Somalia ndio wameletwa miaka ya karibuni
Mbuzi ana 100 kg Boer wakati wetu ni nusu yake
๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Inataka uwe nao hapo hapo mkuu kuna jamaa mmoja ametoka ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ karudi nyumbani Uganda anajiita Valuefarm
Nimemfuatilia tangu anaanza kununua ardhi mile 76 toka Kampala
Anasema changamoto ni nyingi ila moja ambayo ilinishtua na amejifunza kutokuwa na wauguzi toka nje yaani wa kuja kuwatibu aliwatumia sana ila kuna wengine sio wazuri wanapewa hela na mahasimu ili wawachome mifugo sumu
Sasa ana waganga wake mwenyewe na anawalipa vizuri
Jamaa kajiendeleza taratibu alianza na Mbuzi tu
Yupo YouTube anauza pia pure
Huyo sio motivation speaker bali a napambana haswa
Mkuu, nashukuru sana kwa taarifa๐Ÿ™

Nitamfuatilia, huenda "nitaokota"
 
Hapo ndiyo mpaka upate uhakika wa ngo'mbe wako kukupa hizo lita 60, kumbuka huwa kuna siku anatoa maziwa pungufu na pia uwe unauza hayo maziwa yote kila siku yasibaki hata glasi moja
Ukishakuwa na uhakika wa kupata maziwa mengi kila siku, unatafuta watu wa kuingia nao mkataba wa kuwapelekea maziwa kila siku.
 
Back
Top Bottom