Ngorongoro: Tundu Lissu atimiza malengo yake

Upepo wa siasa za dunia UNABADILIKA...

Mataifa yanaanza kuwa na akili zaidi.....

Kiitwacho siasa za ulimwengu ni KIINI MACHO cha makuwadi wa mabeberu(TL et al)....

Siasa bora ni NATIONALISM ambazo makuwadi wa mabeberu na mabosi wao wanaziita KANDAMIZI......

Akina Lissu wanawekeza katika "international rhetorics" ambazo hazina tija "locally"....

Akina Lissu ndio maadui wa miungano kama BRICS....

TUWAOGOPE KAMA KIPINDUPINDU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Namkubali sana huyu mwamba. Yaani hayumbishwi na kitu chochote, mtetezi wetu wa rasilimali zetu huyu ni nyerere wapilj anayepambana na mafisadi, utawala mbovu, uwizi wa mali za umma.
 
Poyoto tu yule taahira.

Kwa wajinga wenzake lazima mumuone ana akili. Si mnajulikana kondoo mliokosa wachungaji.
Hivi viongozi wa kiislam mashehe wanKuwa na elimu ya Theolojia au Falsafa?

Hapo Rwanda bila kuwa na degree au Diploma ya dini huruhusiwi kuwa kiongozi wa dini

Misikiti mingi na makanisa yamejifunga automatic kwa kukosa mashehe na wachungaji wenye elimu ya theolojia au falsafa

Hapa Tanzania naona kama mashehe wana kalili tu kuruani na kuwa viongozi wa misikiti
 
Ni Lissu "aliyelobby" wabunge wa CDU cha ujerumani bungeni BUNDESTAG waupinge mradi wa ujenzi wa bwawa la ufuaji umeme wa megawati 2215 kwa kisingizio cha uharibifu wa TURATHI YA DUNIA SELOUS....hapa hakuwa anawapambania WAZARAMO NA WANDENGEREKO bali ajenda za MABOSI wake wa BRUSSELS....leo eti anawapambania WAMASAI ilihali serikali inalinda uharibifu wa mazingira.....

Kwa TL 2+2=22 [emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Namkubali sana huyu mwamba. Yaani hayumbishwi na kitu chochote, mtetezi wetu wa rasilimali zetu huyu ni nyerere wapilj anayepambana na mafisadi, utawala mbovu, uwizi wa mali za umma.
Nyerere gani huyu alipinga ujenzi wa bwawa la "Nyerere" wa Kwanza kwa kigezo tu cha uharibifu wa mazingira.....

Nyerere hakusimamia siasa za kibeberu....

Nyerere alikuwa ni mjamaa....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hatimaye wahafidhina wa CCM wamefanikiwa kumlipua mamie Abdul. Tundu Lissu ametumika kama kilipuzi kwenye hili kombora.
 
Porojo
 
Akili kubwa imetumika kuiingiza chaka akili ndogo
 
Nyerere gani huyu alipinga ujenzi wa bwawa la "Nyerere" wa Kwanza kwa kigezo tu cha uharibifu wa mazingira.....

Nyerere hakusimamia siasa za kibeberu....

Nyerere alikuwa ni mjamaa....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hilo bwawa la umeme limesaidia nini zaidi ya kulingiza taifa hasara, umeme bado bei na bado umeme ni unakatikati hovyo. Sasa kulikuwa na tofauti gani baada ya hilo bwawa kukamilika. Umeme bado shida gharama bado zipo juu wanachafua mazingira tu na pesa zao za upigaji
 
Bonge la mwanaharakati
 
Ntajie mtu maarufu kuliko lisu mmoja
 
Unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe.

Wamasai norongoro crater siyo kwao, wahamishwe tu.

Luseu na yeye anyee debe kwa uhujumu uchumi.
Bibi mbona una jazba.

Norongoro ni wapi?

Leseu ni nani?
Poyoto tu yule taahira.

Kwa wajinga wenzake lazima mumuone ana akili. Si mnajulikana kondoo mliokosa wachungaji.
Poyoto ni nini?

Kwani shule ulienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…