Dini gani?Za asubuhi wakuu,
Anaitwa Adson Arantes do Nascimento aka "Pele". Kwa wale wafuatiliaji wa mambo ya mpira wa miguu bila shaka nadhani watakuwa wanamfahamu fika gwiji, mfalme na bingwa huyu wa mpira wa miguu wa muda wote ambae aliwahi kujizolea umaarufu kutokana na umahiri wa uchezaji wake na ufungaji mabao wa aina yake awapo uwanjani.
RIP Pele.
Mkristo. Mbona unauliza swala la dini yake mkuu?Dini gani?
Yawezekana anatafuta dua njema ya kumuombea kulingana na imani yake.Mkristo. Mbona unauliza swala la dini yake mkuu?
Ni vizuri kujua Kama ushindi wake ulikua wa dini gan duniani, kama ulivyo MoroccoMkristo. Mbona unauliza swala la dini yake mkuu?
Huu ni uchokozi dhahir bin shahir!😂😂😂😂Ni vizuri kujua Kama ushindi wake ulikua wa dini gan duniani, kama ulivyo Morocco
we bibi weOoh no...!!!![emoji47][emoji47][emoji47]
Hapa KISIJU wengi hawamjui, aligusa maisha ya kina Nani? Mtu ameshindwa kuchangia hata ujenzi wa madrasa? Visima? U-legend unatoka wapi?Utakumbukwa Pele kwa namna maisha yako ya soka yalivyowagusa watu katika soka. Pumzika kwa amani
Amwambie messi kaisha kabaki mapenati tuHawezi mwambia hizi takataka, yaani aache kumsimulia jinsi messi alivyo chukua kombe la dunia aanze kumsimulia takataka za simba sijui blah blah blah,,,,, eboo
Kila channel inaonyesha historia ya maisha yake mpaka kidume nimetokwa chozi
He was global human being…..
Super Granddad….
View attachment 2462844
Waislam bana[emoji23] mnapenda sana kuchangiwa changiwa, si mtoe sadaka za kutosha na kuweka vitega uchumi mjijengee wenyewe?Hapa KISIJU wengi hawamjui, aligusa maisha ya kina Nani? Mtu ameshindwa kuchangia hata ujenzi wa madrasa? Visima? U-legend unatoka wapi?
Punguza chukiWaislam bana[emoji23] mnapenda sana kuchangiwa changiwa, si mtoe sadaka za kutosha na kuweka vitega uchumi mjijengee wenyewe?
Gadaffi na wengine kawajengeeni, bado mnataka na Pele awajengee???
Poor you.
Hapa KISIJU wengi hawamjui, aligusa maisha ya kina Nani? Mtu ameshindwa kuchangia hata ujenzi wa madrasa? Visima? U-legend unatoka wapi?
BBC world service wanarusha live breaking news toka sao paulo brazil. Makala maalumu zinaoneshwa enzi za uchezaji wake na katika matukio mengi ya kimichezo aliyoshiriki, BBC wanamuelezea kama mchezaji bora wa nyakati zote
Huyu jamaa alikuwa na cancer?
Mungu amrehemu.
Naukumbuka uzi wako uleTutakumiss nilisema kama mzoefu niliyefanya kazi palliative unit.I said itakuwa ngumu kufika 2023.R.IP Baba
yule ni nguli wa soka duniani, wapenda soka wanafuatilia rekodi zake, vyombo vya habari duniani vinamuandikaje baada ya kuondoka duaniani. Kama si mshabiki wa mpira wa miguu hutamuelewa Pele alikuwa nani kwenye ulimwengu wa sokaYani mimi ndio sina time kuangalia, niache kuangalia vitu muhimu na vyenye faida kwangu eti niangalie kumbukumbu zake
Mtumie vyote ivyo avioneTulitegemea kuliona hili likizungumzwa
Bila kuona vitu kama hivi unafikiri tutajuaje kuwa tupo bongo??
Just incase umesahau au hukuwa na taarifa ni kwamba siku ya christmas familia yake ilienda kusheherekea hospitali pamoja naye.
Picha zilitumwa na video zilionesha tena akiwa katika tabasamu kubwa