and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Dini gani?Za asubuhi wakuu,
Anaitwa Adson Arantes do Nascimento aka "Pele". Kwa wale wafuatiliaji wa mambo ya mpira wa miguu bila shaka nadhani watakuwa wanamfahamu fika gwiji, mfalme na bingwa huyu wa mpira wa miguu wa muda wote ambae aliwahi kujizolea umaarufu kutokana na umahiri wa uchezaji wake na ufungaji mabao wa aina yake awapo uwanjani.
RIP Pele.