TANZIA Nguli wa Soka Duniani, Mbrazili Pele afariki dunia

TANZIA Nguli wa Soka Duniani, Mbrazili Pele afariki dunia

Za asubuhi wakuu,

Anaitwa Adson Arantes do Nascimento aka "Pele". Kwa wale wafuatiliaji wa mambo ya mpira wa miguu bila shaka nadhani watakuwa wanamfahamu fika gwiji, mfalme na bingwa huyu wa mpira wa miguu wa muda wote ambae aliwahi kujizolea umaarufu kutokana na umahiri wa uchezaji wake na ufungaji mabao wa aina yake awapo uwanjani.

RIP Pele.
Dini gani?
 
Utakumbukwa Pele kwa namna maisha yako ya soka yalivyowagusa watu katika soka. Pumzika kwa amani
Hapa KISIJU wengi hawamjui, aligusa maisha ya kina Nani? Mtu ameshindwa kuchangia hata ujenzi wa madrasa? Visima? U-legend unatoka wapi?
 
Hapa KISIJU wengi hawamjui, aligusa maisha ya kina Nani? Mtu ameshindwa kuchangia hata ujenzi wa madrasa? Visima? U-legend unatoka wapi?
Waislam bana[emoji23] mnapenda sana kuchangiwa changiwa, si mtoe sadaka za kutosha na kuweka vitega uchumi mjijengee wenyewe?

Gadaffi na wengine kawajengeeni, bado mnataka na Pele awajengee???

Poor you.
 
Waislam bana[emoji23] mnapenda sana kuchangiwa changiwa, si mtoe sadaka za kutosha na kuweka vitega uchumi mjijengee wenyewe?

Gadaffi na wengine kawajengeeni, bado mnataka na Pele awajengee???

Poor you.
Punguza chuki
 
Hapa KISIJU wengi hawamjui, aligusa maisha ya kina Nani? Mtu ameshindwa kuchangia hata ujenzi wa madrasa? Visima? U-legend unatoka wapi?

Huyu marehemu wanampamba sana.. ingelikua ndio Messi mtoto wa pele dah.. ila ndio hivyoo wakubali tu MESSI ndio THE GREATEST FOOTBALL OF TIME, itachukua miaka mingi sana au huenda isitokee kumpata MESSI mwingine,
 
BBC world service wanarusha live breaking news toka sao paulo brazil. Makala maalumu zinaoneshwa enzi za uchezaji wake na katika matukio mengi ya kimichezo aliyoshiriki, BBC wanamuelezea kama mchezaji bora wa nyakati zote

Yani mimi ndio sina time kuangalia, niache kuangalia vitu muhimu na vyenye faida kwangu eti niangalie kumbukumbu zake
 
Yani mimi ndio sina time kuangalia, niache kuangalia vitu muhimu na vyenye faida kwangu eti niangalie kumbukumbu zake
yule ni nguli wa soka duniani, wapenda soka wanafuatilia rekodi zake, vyombo vya habari duniani vinamuandikaje baada ya kuondoka duaniani. Kama si mshabiki wa mpira wa miguu hutamuelewa Pele alikuwa nani kwenye ulimwengu wa soka
 
Tulitegemea kuliona hili likizungumzwa

Bila kuona vitu kama hivi unafikiri tutajuaje kuwa tupo bongo??

Just incase umesahau au hukuwa na taarifa ni kwamba siku ya christmas familia yake ilienda kusheherekea hospitali pamoja naye.

Picha zilitumwa na video zilionesha tena akiwa katika tabasamu kubwa
Mtumie vyote ivyo avione
 
Back
Top Bottom