Hamna jipya nyie wanga. Kila siku huyyu anafatiliwa huyu hivi huyu vile. Kwishneeeeee siasa imewashinda. Mmechukua majambazi,wavuta bangi na wachungaji kwenye siasa. Mmechemsha labda Lowassa na Sumaye watawasaidia kidogo maana palikuwa patupu huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unabugia bange mpaka ubongo unachanganyika na kinyesi ndo mana unapoteza mwelekeo[emoji83] [emoji196]Bangi hizo ubongo umechanganyika na mavi output 0
Zimejaaaa teleuna akili timamu ?
D
Dua la kuku hilo. Wauaji mnao wenyewe huko kwa kugombea madaraka. Sisi tumeshayapata na njia nyeupeeeee 2020. Kaeni mdanganywe na kina wavuta bangi Kimambi na huyo bwege mzushi. Jawabu langu ni hiyo attachment ... ni kweli au uongo?
Anauhuru ganHabari Bila ushahidi! Inaukakasi!
Lakin mwanahabari huru mbona habari zako Huwa ni za mlengo mmoja Na wewe unasema upo huru?
Akili zako zote zinaishi Gheto kwa Le mutuz kubwa jinga na Cyprian msiba wanaowatuma kuja kusumbua watu mitandaoni huku wakilipwa mamilioni pesa za walipa kodi, ni Aina ya matumizi mabaya ya pesa za Umma,Zimejaaaa tele
"Mheshimiwa John Heche na Wana Tarime jihadharini. Wale vijana watesi waliokuwa wametumwa Mwanza kuwateka vijana wetu wawili wakawakosa, Saa Saba usiku wa kuamkia leo wameelekea Tarime".
"Ni Vijana watatu wanatumia Gari aina ya Noah Silver T494 DDU. Wanafuatilia Press Conference na wanamvizia Chacha Heche Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mara na mdogo wa John Heche".
Huyo jamaa naona anaelekea kuwa kama gazeti la udaku sasa.....Kwa nini asitulie awe anatoa taarifa za kueleweka...
Muda sio mrefu watu watakosa uaminifu kwake.
Hayooo yooote yatakurudia wewe lioneeeHuyu shetani mlomchagua si afe tu kuliko kuuwa wengine.Ee Mungu mpe kilema cha maisha,mpe ukoma akose miguu,mikono na midomo ikatike kinywa kibaki wazi ashindwe kusema.
Simplee tuuu...afu basi inakua mnafuatilianaawakikufuatilia na umegundua,wageuzie kibao nawewe wafuatilie!
Hakuna mtu anatumwa kuikosoa CCM na Mtukufu malaika toka chato pamoja na Naibu Rais Maliyamungu Bashite, watanzania wameamua kujituma wenyewe toka rohoni mwao pasipo kutumwa na mtu kwani wamechoka na manyanyaso,pesa nyingi inatumika kukandamiza Demokrasia badala ya kuogeza mishahara ya watumishi wa Umma, na maendeleo ya viwanda nk, Pesa nyingi inatumika kwa mambo ya hovyo hovyo kuwanunua wabunge, madiwani kurudia chaguzi kwa gharama kubwa badala ya maendeleo.Mzushi tu wewe huna lolote. Hata hii ulitengeneza wewe na kutuaminisha hivyo. Wewe safisha vyoo vya wazungu huko. Tuko ok wanaowatumia wameingia choo cha kike
D
Dua la kuku hilo. Wauaji mnao wenyewe huko kwa kugombea madaraka. Sisi tumeshayapata na njia nyeupeeeee 2020. Kaeni mdanganywe na kina wavuta bangi Kimambi na huyo bwege mzushi. Jawabu langu ni hiyo attachment ... ni kweli au uongo?
Endelea na ushetani wako kwa bwana wako lucifer iko siku garika litawakumba na mtaangamia hadi vizazi vyenuHayooo yooote yatakurudia wewe lioneee
Mzushi tu wewe huna lolote. Hata hii ulitengeneza wewe na kutuaminisha hivyo. Wewe safisha vyoo vya wazungu huko. Tuko ok wanaowatumia wameingia choo cha kike
Noted"Mheshimiwa John Heche na Wana Tarime jihadharini. Wale vijana watesi waliokuwa wametumwa Mwanza kuwateka vijana wetu wawili wakawakosa, Saa Saba usiku wa kuamkia leo wameelekea Tarime".
"Ni Vijana watatu wanatumia Gari aina ya Noah Silver T494 DDU. Wanafuatilia Press Conference na wanamvizia Chacha Heche Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mara na mdogo wa John Heche".