Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Piga nikupige hapo wanapigana na Marekani sio wanyonge...Unajua population ya Yemen lakini? 32. Million.....Ujermani ilishindwa kwa kupigwa vita vya pili....Vita sio kuua Polupaltion yote! Vipi Uganda, Tuliuwa Waganda wote!
Mbona hawaishi na vita inaendelea 😅😅
Piga nikupige hapo wanapigana na Marekani sio wanyonge...
Acha kujidanganya kama unajua madhara ungeanza hapo congo ,hapo wote wanapata hifadhi kwa waarabu wenzao kaangalie trucks za misaada huko.
Acha kujidanganya kama unajua madhara ungeanza hapo congo ,hapo wote wanapata hifadhi kwa waarabu wenzao kaangalie trucks za misaada huko.
Hapo kwa weusi wenzao kaangalie hata hifadhi hawana then unaleta ushabiki maandazi ,hayo mambo unafikria yameanza mwaka jana !?
Unataka niandike uzi sio ? Fuatilia comments zangu ndio utajifunza dogo
Acha kujidanganya kama unajua madhara ungeanza hapo congo ,hapo wote wanapata hifadhi kwa waarabu wenzao kaangalie trucks za misaada huko.
Hapo kwa weusi wenzao kaangalie hata hifadhi hawana then unaleta ushabiki maandazi ,hayo mambo unafikria yameanza mwaka jana !?
Unataka niandike uzi sio ? Fuatilia comments zangu ndio utajifunza dogo
Ni kwamba vita itakuwepo milele sio wanyonge hao kama kwenu.
Acha kujidanganya kama unajua madhara ungeanza hapo congo ,hapo wote wanapata hifadhi kwa waarabu wenzao kaangalie trucks za misaada huko.
Hapo kwa weusi wenzao kaangalie hata hifadhi hawana then unaleta ushabiki maandazi ,hayo mambo unafikria yameanza mwaka jana !?
General view of the Khan Younis refugee camp where much of the population relies on assistance from the United Nations Relief and Works Agency (UNRWA), in Southern Gaza, 19 January 2018. UNRWA, the UN refugee agency responsible for Palestinians, will launch a global fundraising campaign to make up for tens of millions of dollars withheld by US President Donald Trump. The agency supports some 5 million Palestinian in Jordan, Syria, Lebanon and the Palestinian Territories. Photo: Wissam Nassar/dpa
Captions are provided by our contributors.
Wanyonge wanaishi kwa msaada wa UNRWA toka 1948......Pesa yote inashia kujenga Mahandaki.......Maana maji bure, umeme bure, dawa bure...! Kila siku nashangaa akili za Waarabu...
Hawa mbona km ni blacks?View attachment 2906675
Ubavu wa kurusha Maroketi....angalia wananchi wake...80% wanaishi kwa msaada.....Akili za Mwarabu ngumu mno kuzielewa....Sijui ni lipi linalowasukuma.
Huwa ni Warabu koko...Miaka ya nyuma walikuwa wengi Dar...Hawa mbona km ni blacks?
Kwani wayemen ni weusi?
Kwenye picha hapo inaonekana km jamii ya wasomali.Huwa ni Warabu koko...Miaka ya nyuma walikuwa wengi Dar...
Ufikiriavyo sivyo, umachokiita nguvu kubwa kamwe UK na US hawajawahi kuvitumia dhidi ya hao Houth. Sijui wewe uliiona wapi? Maana walicjofanya ni kuzuia mashambulizi, si kuwasambaratisha.Siku ya mwanzo Marekani na Uiengereza walipoanza kushambulia Houth kule Yemen maeneo karibu 85 ya Houth tuliambiwa yamepigwa na picha za moshi ukifuka tukarushiwa.
Kuna watu walijua Houth imeisha lakini siku iliyofuata Yahya Sarea akatoa tangazo kulenga meli nyengine na watu hawakuamini.
Baada ya hapo Marekani kipekee na wakati mwengine Uiengereza anajiunga wameshambulia mara nyingi sana.Rada zote za Houth tuliambiwa zimevunjwa vunjwa.Zaidi ya hivyo droni na makombora ya Houth tukaambiwaa sasa yanawindwa na kuwahiwa kuangamizwa kabla hata hayajarushwa hewani.
Meli na majahazi yanayopeleka silaha kwa Houth kutoka Iran mara kadhaa zimeshikwa na meli hizo kuzamishwa na shehena zake japo mara moja askari wawili wa US walisukumwa majini.
Yote hayo yaliyotokea kumbe si chochote.Houth kila siku wanarusha makombora kwa meli zenye mafungamano na Israel,Marekani na Uiengereza.Matangazo ya Houth hayabaki kuwa ni kampeni na propaganda tu bali yamekuwa yakithibitishwa na mataifa hayo bila kutaja hasara wanazozipata.
Hapo juzi na jana mfululizo meli za Uiengereza za mizigo ya nafaka na mafuta zimerushiwa makombora na kukoswa koswa.Hali hiyo haiyapi mashirika ya meli furaha na uhuru wa kutumia bahari ya red sea.
Mashirika makubwa ya usafirishaji mizigo baharini kama Maersk wamesalimu amri na kusema hawawezi kubahatisha kupita maeneo hayo ya Houth kwa kuamini ulinzi wa Marekani na Uiengereza ambao meli zao zenyewe zikiwemo za kivita haziko salama.
Defiant Houthis claim fresh Red Sea attacks on US, UK ships
Kwenye picha hapo inaonekana km jamii ya wasomali.
Umeona nyuzi zangu humu au shobo ?Wewe unaleta ushabiki wa Chapati? Kwa huanzishi mada kuhusu Congo....! Sio mimi nimeanzisha uzi huu....Ni Huyo Shabiki wa Houthis....Ulitaka tukae kimya?
Unaposikia homeless unajua nn ? Shule umesoma kweli ?General view of the Khan Younis refugee camp where much of the population relies on assistance from the United Nations Relief and Works Agency (UNRWA), in Southern Gaza, 19 January 2018. UNRWA, the UN refugee agency responsible for Palestinians, will launch a global fundraising campaign to make up for tens of millions of dollars withheld by US President Donald Trump. The agency supports some 5 million Palestinian in Jordan, Syria, Lebanon and the Palestinian Territories. Photo: Wissam Nassar/dpa
Captions are provided by our contributors.
Wanyonge wanaishi kwa msaada wa UNRWA toka 1948......Pesa yote inashia kujenga Mahandaki.......Maana maji bure, umeme bure, dawa bure...! Kila siku nashangaa akili za Waarabu...