Nguvu kubwa imetumika kuwapiga Houth na hakuna kilichobdilika. Vita enzi hizi ni ngumu kushinda

Nguvu kubwa imetumika kuwapiga Houth na hakuna kilichobdilika. Vita enzi hizi ni ngumu kushinda

Umeona nyuzi zangu humu au shobo ?

Za nini...... what is so special about you! May be your interests haziendani na zangu....Unalazimisha nikufahamu...! Sio Mimi nimekuambia uchangie mada hii....Njia zetu zimekutana.... Kaandike vitabu kama unataka kujulikana.....Au hupendi kuwa contradicted! Hoja yako ni Hoja yako......
 
Ugomvi wao wa mwanzo ulikuwa ni Saudia, vita vyao vilkuwa purely vya kidini, dhehebu la Zaydyyah la Kishia, kuuondoa utawala wa kiongozi wa Yemen wakati huo.

Ni ubavu wa pesa ya Iran ndio unaowafanya wapumue, uchumi, wa Yemen ni uko chini mno, ugomvi huu hauwapeleki popote pale, sana sana kuifanya Yemen kuwa duni tu!
Imeshagota kwenye sakafu ya kina cha uduni.
Yemen ni failed state
 
Umeona nyuzi zangu humu au shobo ?

Za nini...... what is so special about you! May be your interests haziendani na zangu....Unalazimisha nikufahamu...! Sio Mimi nimekuambia uchangie mada hii....Njia zetu zimekutana.... Kaandike vitabu kama unataka kujulikana.....Au hupendi kuwa contradicted! Hoja yako ni Hoja yako......
Unaposikia homeless unajua nn ? Shule umesoma kweli ?

Watu hawana makazi wamekimbia makazi yao na vita inaendelea yaani waafrica kwa waafrica... Egypt anajenga sehemu ya kuhifadhi wapalestina bado gari za misaada kibao mpaka israel anazui.

Kumbuka Palestine na israel ni maitafa mawili ...Ndani ya wapalestina kuna ndugu zakow wagalatia
Shule umekwenda wewe tu! Inasikitisha sana.....
 
Za nini...... what is so special about you! May be your interests haziendani na zangu....Unalazimisha nikufahamu...! Sio Mimi nimekuambia uchangie mada hii....Njia zetu zimekutana.... Kaandike vitabu kama unataka kujulikana.....Au hupendi kuwa contradicted! Hoja yako ni Hoja yako......

Shule umekwenda wewe tu! Inasikitisha sana.....
Huoni kma ni mjinga ulivyavamia comment yangu ,kwani hujitambui mpaka uleta shobo kwa kwangu ?..Kaa pembeni sina time na wajinga.!
 
Huoni kma ni mjinga ulivyavamia comment yangu ,kwani hujitambui mpaka uleta shobo kwa kwangu ?..Kaa pembeni sina time na wajinga.!

Unaleta nyuzi hutaki negative comment...Mimi mjinga wewe mpuuzi....Usilete nyuzi halafu unashindwa kupokea negative comments....Ulitaka wote tukuimbie mapambio!
 
Unaleta nyuzi hutaki negative comment...Mimi mjinga wewe mpuuzi....Usilete nyuzi halafu unashindwa kupokea negative comments....Ulitaka wote tukuimbie mapambio!
Negative vip ? sasa kama unaleta shobo maa comment za watu si ukae pembeni..kwa nn una shobo dogo?😅
 
Huoni kma ni mjinga ulivyavamia comment yangu ,kwani hujitambui mpaka uleta shobo kwa kwangu ?..Kaa pembeni sina time na wajinga.!

Kwa hiyo wewe ndio Alwaz.......? Shobo ipi? Hujui chochote kile.....Sijui ni harufu ya udini au nini.......
 
Kwa hiyo wewe ndio Alwaz.......? Shobo ipi? Hujui chochote kile.....Sijui ni harufu ya udini au nini.......
Comment yangu ni free hata wewe unaweza kutoa yako ,ukija upande wangu ku'reply angalia na uwezo wako kwanza.
 
Comment yangu ni free hata wewe unaweza kutoa yako ,ukija upande wangu ku'reply angalia na uwezo wako kwanza.

Una uwezo upi hasa.....Unajidanganya mwenyewe....Shida sana kudhani unajua kumbe hujui.....Sijaona kitu chochote factual kutoka kwako katika mada hii.....! Usijdanganye jamaa yangu.....
 
Una uwezo upi hasa.....Unajidanganya mwenyewe....Shida sana kudhani unajua kumbe hujui.....Sijaona kitu chochote factual kutoka kwako katika mada hii.....! Usijdanganye jamaa yangu.....
Dogo kaa pembeni !😅😅Sioni unachojua hata kuandika unajifunza hapa.!
 
Acha kujidanganya kama unajua madhara ungeanza hapo congo ,hapo wote wanapata hifadhi kwa waarabu wenzao kaangalie trucks za misaada huko.

Hapo kwa weusi wenzao kaangalie hata hifadhi hawana then unaleta ushabiki maandazi ,hayo mambo unafikria yameanza mwaka jana !?

Kwa nini unataka nianzie Congo? Umeshindwa hoja unaanza kusema Ushabiki wa Maandazi.....Ndio msomi wewe? Labda ulikaa madarasani tu!
 
Back
Top Bottom