cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
Umeona nyuzi zangu humu au shobo ?
Imeshagota kwenye sakafu ya kina cha uduni.Ugomvi wao wa mwanzo ulikuwa ni Saudia, vita vyao vilkuwa purely vya kidini, dhehebu la Zaydyyah la Kishia, kuuondoa utawala wa kiongozi wa Yemen wakati huo.
Ni ubavu wa pesa ya Iran ndio unaowafanya wapumue, uchumi, wa Yemen ni uko chini mno, ugomvi huu hauwapeleki popote pale, sana sana kuifanya Yemen kuwa duni tu!
Umeona nyuzi zangu humu au shobo ?
Shule umekwenda wewe tu! Inasikitisha sana.....Unaposikia homeless unajua nn ? Shule umesoma kweli ?
Watu hawana makazi wamekimbia makazi yao na vita inaendelea yaani waafrica kwa waafrica... Egypt anajenga sehemu ya kuhifadhi wapalestina bado gari za misaada kibao mpaka israel anazui.
Kumbuka Palestine na israel ni maitafa mawili ...Ndani ya wapalestina kuna ndugu zakow wagalatia
Huoni kma ni mjinga ulivyavamia comment yangu ,kwani hujitambui mpaka uleta shobo kwa kwangu ?..Kaa pembeni sina time na wajinga.!Za nini...... what is so special about you! May be your interests haziendani na zangu....Unalazimisha nikufahamu...! Sio Mimi nimekuambia uchangie mada hii....Njia zetu zimekutana.... Kaandike vitabu kama unataka kujulikana.....Au hupendi kuwa contradicted! Hoja yako ni Hoja yako......
Shule umekwenda wewe tu! Inasikitisha sana.....
Imeshagota kwenye sakafu ya kina cha uduni.
Yemen ni failed state
Huoni kma ni mjinga ulivyavamia comment yangu ,kwani hujitambui mpaka uleta shobo kwa kwangu ?..Kaa pembeni sina time na wajinga.!
Negative vip ? sasa kama unaleta shobo maa comment za watu si ukae pembeni..kwa nn una shobo dogo?๐Unaleta nyuzi hutaki negative comment...Mimi mjinga wewe mpuuzi....Usilete nyuzi halafu unashindwa kupokea negative comments....Ulitaka wote tukuimbie mapambio!
Huoni kma ni mjinga ulivyavamia comment yangu ,kwani hujitambui mpaka uleta shobo kwa kwangu ?..Kaa pembeni sina time na wajinga.!
Negative vip ? sasa kama unaleta shobo maa comment za watu si ukae pembeni..kwa nn una shobo dogo?๐
Comment yangu ni free hata wewe unaweza kutoa yako ,ukija upande wangu ku'reply angalia na uwezo wako kwanza.Kwa hiyo wewe ndio Alwaz.......? Shobo ipi? Hujui chochote kile.....Sijui ni harufu ya udini au nini.......
Hoja zip unataka hujui kitu๐ !Sikai pembeni hata kidogo.....Leta hoja? Unataka tutoe comments unazotaka wewe...Hiyo Si Jamii FORUM....
Comment yangu ni free hata wewe unaweza kutoa yako ,ukija upande wangu ku'reply angalia na uwezo wako kwanza.
Hoja zip unataka hujui kitu๐ !
Dogo kaa pembeni !๐ ๐ Sioni unachojua hata kuandika unajifunza hapa.!Una uwezo upi hasa.....Unajidanganya mwenyewe....Shida sana kudhani unajua kumbe hujui.....Sijaona kitu chochote factual kutoka kwako katika mada hii.....! Usijdanganye jamaa yangu.....
Ulichoreply kwamba hujui!?Hoja zipi hasa ulizoleta za maana....
Hoja zip unataka hujui kitu๐ !
Ulichoreply kwamba hujui!?
Dogo kaa pembeni !๐ ๐Wewe unajua nini hasa....kUHUSU Congo?
Nan kaanza ku'reply kwa mwenzie?๐Soma tena....Maana ndio uliyesema kwa nini hatuandiki kuhusu Congo......Je tunalazimishwa....SITAKI KUANDIKA KUHUSU CONGO KAMA UTAKAVYO WEWE....!
Acha kujidanganya kama unajua madhara ungeanza hapo congo ,hapo wote wanapata hifadhi kwa waarabu wenzao kaangalie trucks za misaada huko.
Hapo kwa weusi wenzao kaangalie hata hifadhi hawana then unaleta ushabiki maandazi ,hayo mambo unafikria yameanza mwaka jana !?