Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Huyo anajiita babu yupo JF mpaka saa8 usiku anacomment upumbavu. Mkuu mbona unataka kujitoa akili wakati vitu vipo wazi kabisa baby gani wa miaka 70 usiku saa8 anachat. Hivi shule ukuenda hata pic uoni?
Mwache inawezekana kwani Andrew Nyerere nyuzi zake na comments alikuwa anaandika Muda gani? Tena Andrew Usiku wa manane ndo ulikuwa Muda wake wa kupost Habari zake.
 
Ahsante kwa kutukumbusha hili swala.
 
Sijaelewa kwakuwa hujasema ulitumia mbinu gani kutoboa.
Mbinu niliyotumia ni ajira mkuuu,

Niliweza kujipangilia vizuri, mshahara wangu kila mwezi,

Hivyo nilikuwa na mtaji mzuri, jumlisha marupu rupu

Ndo niliweza kufanya hilo kwenye kuanzisha miradi yangu,

Ila mafao ya 2016 yalini boost sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…