DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mwache inawezekana kwani Andrew Nyerere nyuzi zake na comments alikuwa anaandika Muda gani? Tena Andrew Usiku wa manane ndo ulikuwa Muda wake wa kupost Habari zake.Huyo anajiita babu yupo JF mpaka saa8 usiku anacomment upumbavu. Mkuu mbona unataka kujitoa akili wakati vitu vipo wazi kabisa baby gani wa miaka 70 usiku saa8 anachat. Hivi shule ukuenda hata pic uoni?
Unaweza ukafunguka kidogo kuhusu vitega uchumi vinavyokutendea makubwa wakati huu.Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi, mbalimbali
TuzioneMwache inawezekana kwani Andrew Nyerere nyuzi zake na comments alikuwa anaandika Muda gani? Tena Andrew Usiku wa manane ndo ulikuwa Muda wake wa kupost Habari zake.
We dogo JF umeijua juzi tu then ubishi Mwingi .Tuzione
Ahsante kwa kutukumbusha hili swala.Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana
Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho, ili azidi kuwabariki,
Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao NA FAMILIA ZAO
Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo,
Hivyo ni faraja sana kwangu,
Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo,
Neno kubwa sana hli, Ila sinahakika kama wengi wetu tunafahanu nini maana na umuhimu wa compound interestwa 5-10 years utaona compound interest yake
Sijaelewa kwakuwa hujasema ulitumia mbinu gani kutoboa.Sio kila mzee alikuwa hivyo mkuu,
Ila nadhani umeelewa nilichoandika
π―π―Mwanaume mwenye sifa hizo hapo huwa haombwi pesa, anatoa pesa kwa mke wake. Mnapokosea ni pale mnapoonyesha kuvutiwa zaidi na pesa kuliko mwenye pesa.
Mbinu niliyotumia ni ajira mkuuu,Sijaelewa kwakuwa hujasema ulitumia mbinu gani kutoboa.