Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Ulifanyanje ukawekeza kazi uliojiriwa mshahara ulikuwa sh ngap na baada ya kusitafu kuinua mgogo ilipewa kiasi gani baada ya kupewa ukiwekeza kwenye nn
 
Chai
 
@PeterrabbitπŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“

Wacha we hongera sana πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘

Kwani kukupenda itanigharimu sh ngap?siwezi kukupenda? Wewe na huyo mpenz wakoπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‹

Wewe ndio umejua kutuewa sisi WanawakeπŸ‘Œ

Ahsante kwa darasa ila sasa kuna mwanaume utampenda..utamheshimu..utamtii lakin kutingisha mfuko wake mpaka uongee..hajiongezi ng’oo ata uumwe liko liko tu..kwenye maradhi kashindwa ata kwa vitu vidogo vidogo pia ni mzigo simply because uko strong financiallyπŸ˜”

Wapo wanaume ambao hawajui kua mwanamke ata kama anajiweza kwa kiwango chake lakin hakuna kitu kinachonogesha mahusiano kwa mwanamke kama πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°

Ata kama Mwanamke anajiweza sio kwamba hataki Pesa ya Mume wake/Mpenz wake we mpe tu πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°πŸ’°
 
Lovie Lady wealth is not guaranteed, it is a result of a combination of circumstances most of which are out of our control.... chamsingi furaha usitegemee kutajirika you will be disappointed
 
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Pole sana MkuuπŸ˜”umeoa Shetani..kua makini sana uyo Mkeo kwa sifa zake izo kazi unayo πŸ€¦β€β™€οΈatakuua ili awe mrithi kamili wa Mali zako

Msome mapema sana ivyo ni viashiria vichache sana kuweza kung’amua kua ni mwanamke wa aina ganiπŸ€¦β€β™€οΈ

Natanguliza samahani kubwa πŸ™πŸ™πŸ™kama ni Mnyiramba +makabila ya Singida + Mmachame umekwisha πŸ€¦β€β™€οΈ

Ingawa sio wote kwasababu UBAYA HAUNA KABILA
 
Mkuu umeongea kwa uchungu sana
 
Ndio maana nikasem hizi ni hadith tu
 

Ubarikiwe sana, ni faraja sana kusikia mstaafu anajivunia maisha yake, wengi wame fail...
 
Hongera sana mzee kwa ushauri mzuri. Nilizaliwa 1970. Miaka mingi nilipoteza kwenye mambo ya kipuuzi. Lakini kuanzia mwaka 2009 nikaanza kuwa focused kwanye mikakati yangu, based on creativity,kuchangamkia fursa,kubana matumizi,kupunguza idadi ya madem,kutokunywa pombe nk. SASA nina nyumba 10(9 napangisha), frem(maduka) ya kupangisha 24, duka langu la hardware na ofisi ya fani yangu, na ajira yangu bado inaendelea kwenye taasisi fulani sector binafsi. Nikifika 55 nitastafu kazi ili niliendelee kuitwa "boss" kwenye investments zangu, maana nimeajiri watu kadhaa.
 
Wewe ni mwongo haswa maisha yako tunayajua ni ya kubangaiza mno. Ila leo umeamua kutubeba ujinga sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…