Ni aibu kuwa na taifa ambalo Rais wake anaingilia Mhimili wa Mahakama na anajinasibu kufutia wakosaji makosa kinyume na katiba

Sabaya ni kesi halali za uhalifu wake, wakati Lema ni kesi za mchongo toka kwenye siasa chafu za Magufuli.
Dhamira ya Rais sio ya dhati .

Anawatumia tu Chadema kwa manufaa ya kisiasa.

Wenye makosa ndio wanapaswa musamehewa ili msamaha uhesabike.

Kwakua Lema hana kosa basi hajafanya lolote kumsamehe maana tayari hana kosa.

Anayepaswa hapa kusamehewa ni sabaya maana ndiye mkosaji.

Hakuna faida yeyote kumsamehe asiye na kosa.

Ila mtu anapata thawabu kwa kumsamehe mkosaji.

Hapa kama kawaida CHADEMA mnatumika.
 
Kesi za kubambika rahisi kuzifuta.
 
Ndio maana ukawa stroke
 
Niambie ni mahakama ipi imemtia hatiani sabaya kwa makosa yake.

Anafuta kesi za kubumba huku anafunga wengine kwa kesi za kubumba.

Huu tuite nini??
 
Unafananisha kesi za uchochezi (kisiasa) na kesi za unyang'anyi wa kutumia silaha?!.
Yaani mlima Kilimanjaro ni sawa na kichuguu?!.
Shule ulienda kusomea ujinga eeh
Mahakama ipi imemtia hatiani??
 

Akili huna
 
Mkiti wenu wa ccm alisha wahi kusema kuwa ni bora mpinzani aliye nje ccm kuliko mpinzani aliye ndani ya ccm .... Sabaya ni mpinzani aliye ndani ya ccm... Kwahiyo mama anashughulika na wapinzani walioko ndani ya ccm.. amejua kuwa chadema ni wapinzani wenye uchungu na rasrimali za nchi hii kuliko hao wanaovaa tai zenye rangi ya bendera ya Taifa kumbe ni zilonga mbali na zitendwa mbali... Mama Samia shughulikia hao kupe mpk maji wayaite mmaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Yaani hata mhalifu Sabaya nae ana watetezi..?ama kweli ukishangaa ya Musa utaona ya firauni
Kama mwizi wa gari mstaafu anasamehewa hata huyo mhalifu anastahili.

Huu ni mwezi wa kwaresma.

Rais atoe zawadi kwa kumfutia kesi sabaya atapata thawabu.

Else itakua hadaa tu kama nyingine tulizozoea kusikia na kuona.
 
Ameanza kulewa madaraka mapema. Wahuni kama lema anaona wako sahihi. Mtu anaropoka ovyo. Kiitikadi na ccm ni mota na maji. Jitu libinafsi eti mama anamfutia kesi. Sijui hata anajua kesi zinahusu nini. Huwezi kua kiongozi shwari tu na wapinga maendeleo unawafutia kesi huku kijana sabaya aliyepambania sera za ccm kujali wanyonge kupata haki na kupingana na fisadi na wakwepa kodi unajidai humuoni. Adui zake wanamsulubisha kwa ushirika na serikali unayoiongoza.
 
Kesi za kina Lema ...zilikuwa za kisiasa zaidi.
 

Kama rais anawatumia CDM, kwanini asimtumie Sabaya ili kupata hizo sifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…