Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Dhamira ya Rais sio ya dhati .Sabaya ni kesi halali za uhalifu wake, wakati Lema ni kesi za mchongo toka kwenye siasa chafu za Magufuli.
Anawatumia tu Chadema kwa manufaa ya kisiasa.
Wenye makosa ndio wanapaswa musamehewa ili msamaha uhesabike.
Kwakua Lema hana kosa basi hajafanya lolote kumsamehe maana tayari hana kosa.
Anayepaswa hapa kusamehewa ni sabaya maana ndiye mkosaji.
Hakuna faida yeyote kumsamehe asiye na kosa.
Ila mtu anapata thawabu kwa kumsamehe mkosaji.
Hapa kama kawaida CHADEMA mnatumika.