UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Kwani ujambazi na ugaidi una tofauti gani?Maza hafuti kesi ya Ujambazi anafuta za Kisiasa.
Rudia tena kuisoma vizuri hiyo katiba kwa utulivu, utaona mamlaka anapoyatoa.Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Maml
Kesi ya Lema unaijua ?Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Madai ya katiba mpya yanakosa nguvu kwakua .Kwani ujambazi na ugaidi una tofauti gani?
Kwa hiyo unataka kusema Rais ni mnafiki? Au mimi sijakuelewa vizuri?Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Sabaya ni Mzandiki, mzulumati, mnyanganyi, mwizi, mbakaji, wacha aozee jelaHapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Hakuna haja ya katiba mpya.Kesi ya Lema unaijua ?
Mbowe kafutiwa kesi ya Ugaidi.Sabaya ni Mzandiki, mzulumati, mnyanganyi, mbakaji, wacha aozee jela
Ya kutunga. Alifanya wapi ugaidi?Mbowe kafutiwa kesi ya Ugaidi.
Hata ya Sabaya ni ya kutunga alifanya wapi uhalifu??Ya kutunga. Alifanya wapi ugaidi?
Mbowe alipelekwa mahakamani wakati wa utawala wa awamu ya sita.Ya kutunga. Alifanya wapi ugaidi?
CcM kumnanga Mzee tokea ndani kwenda nje kikwetu kwetu tunasema ni JAU..! Kwa hiyo ni Lazima kukodi washambuliaji wa Timu pinzani ili kumsema vibaya Mzee na mamlaka zitakaa kimya eti Demokrasia...Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Demokrasia ingeanza. Kwa spika mstafu Ndugai.CcM kumnanga Mzee tokea ndani kwenda nje kikwetu kwetu tunasema ni JAU.ssl.! Kwa hiyo ni Lazima kukodi washambuliaji wa Timu pinzani ili kumsema vibaya Mzee na mamlaka zitakaa kimya eti Demokrasia...
Ugaidi wa kubambika sio sawa na Ujambazi uliofanywa hadharani.Kwani ujambazi na ugaidi una tofauti gani?
Hakuna mahakama iliyothibitisha hilo kutokea.Ugaidi wa kubambika sio sawa na Ujambazi uliofanywa hadharani.
Kulikuwa na kesi ya wizi wa magari mzee! Ile yakisiasa nayo?Waliofutiwa kesi ni kwa sababu zilikua za kisiasa na kisasi, za kubambikiwa. Ni tofauti na kesi za unyang'anyi na kupora.
Pia inawezekana ni matakwa ya wazungu wakopeshaji (ubireshaji wa demokrasia), sidhani kama kuna mkopeshaji anataka Sabaya afutiwe kesi.
Sabaya huenda kuwekwa ndani ni salama zaidi kwake kuliko kutolewa.
Pia Rais hapangiwi.
Moja ya masharti ya maridhiano ya Mama Asali na Mbowe ni kuwa Sabaya lazima afungwe maana alimpa shida sana. Hivyo Sabaya asitegemee mteremko.Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
It make alot of sense, kesi za kubambikiwa kisiasa Lema ni tofauti na kesi ya jambazi Sabaya.Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.