Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hakika ni huzuni sana ameweka bayana lolote lawezekana na lolote aweza fanya.Ibara ya 107B ya katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mahakama zitakuwa huru kuendesha mashauri.
Inashangaza rais Samia kumfutia mharifu makosa
Hii ni kinyume na katiba.
👇View attachment 2538542
Makosa gani Lema na Mbowe walifanya?Ibara ya 107B ya katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mahakama zitakuwa huru kuendesha mashauri.
Inashangaza rais Samia kumfutia mharifu makosa
Hii ni kinyume na katiba.
👇View attachment 2538542
Turudi kwenye katiba yetu mamlaka ya rais yapoje?Ibara ya 107B ya katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mahakama zitakuwa huru kuendesha mashauri.
Inashangaza rais Samia kumfutia mharifu makosa
Hii ni kinyume na katiba.
👇View attachment 2538542
Mama ndio alimtuma Sabaya Kupita na kukata watu? 🤣🤣🤣🤣Shida huyu mama huwa hajui madhara ya anayoongea hadharani. Anadhani anajenga leo kumbe anaharibu kesho. Kwamba ana uwezo wa kumtengenezea mtu kesi kama alivyofanya kwa Sabaya na kumfutia anayetaka kama alivyofanya kwa lema na mbowe.
Kipindi fulani alikuwa anajikanyaga BBC mpaka washauri wake wakamzuia kuhojiwa na vyombo vya habari.
Pengine huwa hajui anaongea nini? Yupo yupo tu. Hajui Donts na Dos za nafasi nyeti kama hiyo.
Washauri wamzuie? Kuzia ni neno ambalo sio sahihi.Shida huyu mama huwa hajui madhara ya anayoongea hadharani. Anadhani anajenga leo kumbe anaharibu kesho. Kwamba ana uwezo wa kumtengenezea mtu kesi kama alivyofanya kwa Sabaya na kumfutia anayetaka kama alivyofanya kwa lema na mbowe.
Kipindi fulani alikuwa anajikanyaga BBC mpaka washauri wake wakamzuia kuhojiwa na vyombo vya habari.
Pengine huwa hajui anaongea nini? Yupo yupo tu. Hajui Donts na Dos za nafasi nyeti kama hiyo.
Muongo huyo achana naeNijibu kamanda. Hii taarifa ya chadema kupokea ruzuku umeipata wapi?
Acha kujibu mambo kwa hisia. Lema hakuwa na kesi Singida iliyokuwa na ushahidi upo wazi?Sasa hivi ndio mmejiridhisha kuwa rais anaingilia mahakama, ila sasa hivi ameingilia kuhakikisha inatenda haki. Mara zote huko nyuma mahakama zilitumika kukomoa wapinzani.
We jamaa ni mzima kichwani? Usikariri nenda kasome tena sheria. Mlalamikaji anaweza kuiondoa kesi mahakamani.Mahakama ikishasomewa shitaj
Ka na jamhuri kesi inakuwa chini ya mamlaka ya mahakama. Ndio maana mahakama inatakiwa kuwa huru. Kama Jamhuri imesoma charge na kudai ushahidi umekamilika kwa nini zifutwe?
Serikali haijawahi kuingilia Mahakama sema wewe hujui SHERIA.Sasa hivi ndio mmejiridhisha kuwa rais anaingilia mahakama, ila sasa hivi ameingilia kuhakikisha inatenda haki. Mara zote huko nyuma mahakama zilitumika kukomoa wapinzani.
Leo ndiyo umejua umuhim wa katiba mpya?Mimi sio mpuuzi kama wewe. Tuwe na katiba rais akifita makosa ya wakosaji kama Lema anawajibishwa.
Indepence of judiciaryWe jamaa ni mzima kichwani? Usikariri nenda kasome tena sheria. Mlalamikaji anaweza kuiondoa kesi mahakamani.
Unajua maana ya uhuru wa mahakama au unatapika kama unakunya. Yaani raia wawe wanafanya kosa alafu Dpp au Japi anaamurishwa kufuta kesi?Serikali haijawahi kuingilia Mahakama sema wewe hujui SHERIA.
Basi Rais angemwambia DPP ndiyo aseme kua hana haja ya kuendelea na kesi! Tunavyojua kua Jinai haifi,kwa hiyo utawala ukibadilika Lema anawezwa kamatwa tena!!!Yaani nilishangaa kwa kweli,ila ndo katiba yetu. Rais yupo juu ya kila kitu.
Sasa nikiwa chawa wa Magufuli,ndo nina chama ?Acha upuuzi wewe chawa mkubwa wa magu