Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
We mbumbumbu acha zako. Ulisikia rais gani akisema hadharani kuwa alimfutia mharifu kosa
Muwe mnaelewa nyie punguani mikesi mliokuwa mnaishabikia ilikuwa ni mikesi ya kisiasa iliyoasisiwa na mwehu mwenzenu yule huo ushamba mama hataki.Ibara ya 107B ya katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mahakama zitakuwa huru kuendesha mashauri.
Inashangaza rais Samia kumfutia mharifu makosa
Hii ni kinyume na katiba.
π
Sawa, lakini hiyo siyo kwa sababu ya katiba.Ukiangalia matendo yanayofanyika.
Kama kesi zenyewe ni za mchongo (Amri toka Juu). Kwanini Amri hiyo hiyo isitolewe kuzifuta??Sawa, lakini hiyo siyo kwa sababu ya katiba.
Hiyo ni kwa sababu ya uoga, udhoofu, na ujinga wa Watanzania walio wengi.
Nishawahi kusema humu kuwa matatizo yetu ni zaidi ya katiba mpya.
Watu kiujumla inabidi tubadilike kifikra pia. Rais siyo mungu. Rais hayuko juu ya sheria. Rais si mkubwa kupita Tanzania.
Akikosea yapaswa aambiwe na hata kugomewa ikibidi.
Haya yote hata kwa sasa yanawezwkana kabisa.
Ila kwa uoga tulio nao, tunaachia tu mambo yafanyike kana kwamba Rais ana haki na mamlaka ya kuyafanya!
Hana!!
Amri kutoka juu haimaanishi kuwa ni amri halali.Kama kesi zenyewe ni za mchongo (Amri toka Juu). Kwanini Amri hiyo hiyo isitolewe kuzifuta??
Ndiyo maana tunahitaji Katiba Mpya itakayotenganisha Mihimili yote Mitatu na utengano huo uonekane wazi. Yaani Kila mmoja uweze kutekeleza majukumu yake bila ule uliojichimbia chini zaidi kuzihujumu Mingine.
Eti unaamuru DPP aondoe kesi ya fulani lakini ya fulani iache kisa unabembeleza kupendwa duaniani badala ya kuwa mtumishi wa watu wote kwa usawa.Ibara ya 107B ya katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mahakama zitakuwa huru kuendesha mashauri.
Inashangaza rais Samia kumfutia mharifu makosa
Hii ni kinyume na katiba.
π
Ila elewa juhudi hushinda kudra. Amekutana na kudra sasa anaonesha juhudiAtajuaje wakati amepata urais 'kwa kudra'
Yule msukule wenu alimtoa Babu Seya Kwa Sheria gani vile?Shida huyu mama huwa hajui madhara ya anayoongea hadharani. Anadhani anajenga leo kumbe anaharibu kesho. Kwamba ana uwezo wa kumtengenezea mtu kesi kama alivyofanya kwa Sabaya na kumfutia anayetaka kama alivyofanya kwa lema na mbowe.
Kipindi fulani alikuwa anajikanyaga BBC mpaka washauri wake wakamzuia kuhojiwa na vyombo vya habari.
Pengine huwa hajui anaongea nini? Yupo yupo tu. Hajui Donts na Dos za nafasi nyeti kama hiyo.
Hilo lipo wazi kabisa sasa.Hahahaha yeye ndiye aliyemfunga kwa hiyo atakayemfungulia si yeyeβ¦ππππππ€£π€£π
Sema Sabaya na yeye, vipi mbona lema hata risasi ajachika? Hivi kikundi cha Sabaya si sawa na Waasi wa Congo. Lissu kala risasi 16 .... Sabaya ni zaidi ya ShetaniHapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi.
Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine??
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani??
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi??
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani??
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Hata risasi za lissu? Au MekoHilo lipo wazi kabisa sasa.
Kama mwanachama ni shetani....Sema Sabaya na yeye, vipi mbona lema hata risasi ajachika? Hivi kikundi cha Sabaya si sawa na Waasi wa Congo. Lissu kala risasi 16 .... Sabaya ni zaidi ya Shetani
Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.