Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
We mbumbumbu acha zako. Ulisikia rais gani akisema hadharani kuwa alimfutia mharifu kosa
Mbumbumbu ni weee ambae unasoma halaf huelewi nilichoandika. Labda niweke kwa kiswahili, hayo mamlaka yamekuwepo toka enzi za nyerere, kila rais amekuwa akitumia kwa style tofauti. Ishu sio kusema ishu ni kutumia hayo madaraka, si kitu kipya