JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Zile tunaziita "politically motivated criminal cases",kesi za michongo!!Ibara ya 107B ya katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mahakama zitakuwa huru kuendesha mashauri.
Inashangaza rais Samia kumfutia mharifu makosa
Hii ni kinyume na katiba.
👇View attachment 2538542hakukuwa na kesi pale,
Mbowe akiitwa gaidi,leo anakaribishwa Ikulu!!!