Ni aibu kuwa na taifa ambalo Rais wake anaingilia Mhimili wa Mahakama na anajinasibu kufutia wakosaji makosa kinyume na katiba

Ni aibu kuwa na taifa ambalo Rais wake anaingilia Mhimili wa Mahakama na anajinasibu kufutia wakosaji makosa kinyume na katiba

Dhamira ya Rais sio ya dhati .

Anawatumia tu Chadema kwa manufaa ya kisiasa.

Wenye makosa ndio wanapaswa musamehewa ili msamaha uhesabike.

Kwakua Lema hana kosa basi hajafanya lolote kumsamehe maana tayari hana kosa.

Anayepaswa hapa kusamehewa ni sabaya maana ndiye mkosaji.

Hakuna faida yeyote kumsamehe asiye na kosa.

Ila mtu anapata thawabu kwa kumsamehe mkosaji.

Hapa kama kawaida CHADEMA mnatumika.
Sabaya ana kosa gani pumbsfu wewe. Si serikali ya samia wanamshikilia tu kibabe kumkomoa kuwafurahisha wafuasi wa mbowe? Wamemfikisha mahakamani ameshinda kesi zote mbili. Kesi ya tatu ni ya ajabu. Mtu alikua anapambana na wshujumu wa uchumi eti wamemshitaki kwa kuhujumu uchumi. Bullshit ccm ya samia. Uhuni mtupu. Wameshindwa kupata kesi ya kumfunga sasa wanamlazimisha aplead out of court.
Sabaya ni jambazi, mnyang'anyi na haramia. Acha aozee gerezani.
Amemfanyia nani ujambazi su amemnyang'anya nani? Hskuna ushahidi ni chuki tu.
 
Kuna mhimili uliojichimbia chin zaid in jiwes voice
Hapa Naona kizunguzungu tu.

Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.

Jambo hili linashangaza mno.

Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?

Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?

Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.

Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?

Ukiachana na hilo.

Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.

Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.

Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.

Huyu atakua mzazi wa aina gani?

Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.

Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.

Maana Logically it doesn't make sense at all.
 
Sabaya ni mfano wa mtoto wa kambo kwa mama wa kambo anayepitia mateso baada ya kifo cha baba yake.....
 
Hapa Naona kizunguzungu tu.

Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.

Jambo hili linashangaza mno.

Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?

Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?

Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.

Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?

Ukiachana na hilo.

Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.

Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.

Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.

Huyu atakua mzazi wa aina gani?

Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.

Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.

Maana Logically it doesn't make sense at all.
We gambo mbona una kiwewe[emoji1787]

Muache sabata akae panapomstahili huyo ni jambazi la ukweli anapaswa kutumikia maovu yake. Waliobambikiwa ndio wanafutiwa.[emoji2]
 
Hapa Naona kizunguzungu tu.

Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.

Jambo hili linashangaza mno.

Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?

Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?

Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.

Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?

Ukiachana na hilo.

Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.

Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.

Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.

Huyu atakua mzazi wa aina gani?

Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.

Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.

Maana Logically it doesn't make sense at all.
Imeandikwa, mthamini jirani yako kuliko nafsi yako
 
Hapa Naona kizunguzungu tu.

Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.

Jambo hili linashangaza mno.

Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?

Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?

Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.

Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?

Ukiachana na hilo.

Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.

Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.

Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.

Huyu atakua mzazi wa aina gani?

Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.

Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.

Maana Logically it doesn't make sense at all.
Imeandikwa, mthamini jirani yako kuliko nafsi yako
 
Dhamira ya Rais sio ya dhati .

Anawatumia tu Chadema kwa manufaa ya kisiasa.

Wenye makosa ndio wanapaswa musamehewa ili msamaha uhesabike.

Kwakua Lema hana kosa basi hajafanya lolote kumsamehe maana tayari hana kosa.

Anayepaswa hapa kusamehewa ni sabaya maana ndiye mkosaji.

Hakuna faida yeyote kumsamehe asiye na kosa.

Ila mtu anapata thawabu kwa kumsamehe mkosaji.

Hapa kama kawaida CHADEMA mnatumika.
Tuliwaambia mkatia jeuri huyo mmsai mwenzenu ss hv mbalialia humu.

Sabaya yupo sehemu sahihi panapomstahili
 
Ameanza kulewa madaraka mapema. Wahuni kama lema anaona wako sahihi. Mtu anaropoka ovyo. Kiitikadi na ccm ni mota na maji. Jitu libinafsi eti mama anamfutia kesi. Sijui hata anajua kesi zinahusu nini. Huwezi kua kiongozi shwari tu na wapinga maendeleo unawafutia kesi huku kijana sabaya aliyepambania sera za ccm kujali wanyonge kupata haki na kupingana na fisadi na wakwepa kodi unajidai humuoni. Adui zake wanamsulubisha kwa ushirika na serikali unayoiongoza.
Bado yupo yupo sn sabaya
 
Uko so fragile yet you act tough. Boya kweli. Why are you triggered sasa? Mimi mwenyewe nimekupa jibu nitakalo nashangaa puru imekuwasha

Huna haja ya kulazimisha mabasha kinguvu boss. Nimeshakupotezea unalazimishia tu, mna shida gani nyie upinde?
 
Sabaya ni jambazi, mnyang'anyi na haramia. Acha aozee gerezani.
Hata mitume walianza kuwasamehe hao wakosaji.

Msamaha ni kwa mkosaji sio kwa ambaye hana kosa?

Kama Rais anataka thawabu amsamehe Sabaya na sio Lema ambaye hana kosa

Lolote.
 
Huna haja ya kulazimisha mabasha kinguvu boss. Nimeshakupotezea unalazimishia tu, mna shida gani nyie upinde?
Huna jeuri ya kunipotezea, we mchumba tu, unaquote na kujibu ninachoandika halafu unasema unanipotezea, wewe ni kamtu weak sana na pasi na shaka uliteswa utotoni kwa namna nisiyotaka kuimagine
 
Back
Top Bottom