Ni aibu kuwa na taifa ambalo Rais wake anaingilia Mhimili wa Mahakama na anajinasibu kufutia wakosaji makosa kinyume na katiba

Ni aibu kuwa na taifa ambalo Rais wake anaingilia Mhimili wa Mahakama na anajinasibu kufutia wakosaji makosa kinyume na katiba

Hapa Naona kizunguzungu tu.

Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.

Jambo hili linashangaza mno.

Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?

Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?

Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.

Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?

Ukiachana na hilo.

Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.

Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.

Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.

Huyu atakua mzazi wa aina gani?

Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.

Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.

Maana Logically it doesn't make sense at all.
Yawezekana wakati mkuuwa wilaya alikuwa anamdharau sana makamu wa rais sa anamnyosha ajifunze kuheshimu watu na kuishi fea,mnakumbuka na makonda alivyokuwa anaogopwa na wakuu wa mikoa na wilaya unadhani nguvu ile ilikuja kiboya tu?
 
Hapa Naona kizunguzungu tu.

Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.

Jambo hili linashangaza mno.

Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?

Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?

Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.

Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?

Ukiachana na hilo.

Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.

Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.

Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.

Huyu atakua mzazi wa aina gani?

Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.

Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.

Maana Logically it doesn't make sense at all.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya hao watuhumiwa wawili kwenye makosa waliyokuwa wanatuhumiwa nayo.. Mmoja ni kesi ya kisiasa mwingine ni jinai na shahidi ni Jamhuri
 
Wewe huoni kama dhana ya siasa za kibabe na ubaguzi zimepitwa na wakati?
Hilo analolifanya Mh. Rais linawachanganya wale wenye siasa zakizamani

Time will tell, huko mbele chuki kubwa itakuja dhidi ya Samia, kuna watu wata feel used kwa sababu ni ukweli kwamba wanatumika ili kumfikisha salama safari yake ya uraisi na kuficha maovu yote na big corruption inayoendelea nchini na haina uhusiano wowote ule na Siasa za kibabe au kizamani, ni swala la muda tu.
 
Time will tell, huko mbele chuki kubwa itakuja dhidi ya Samia, kuna watu wata feel used kwa sababu ni ukweli kwamba wanatumika ili kumfikisha salama safari yake ya uraisi na kuficha maovu yote na big corruption inayoendelea nchini na haina uhusiano wowote ule na Siasa za kibabe au kizamani, ni swala la muda tu.
Kwanini mnakubali kutumika??
 
Nimeona kuna shinikizo la kutaka Ole Sabaya naye afutiwe Kesi kama walivyofutiwa Mbowe, Lisu na Lema

Tunakumbushana tu kwamba Kesi ya Lengai Ole Sabaya Siyo ya Kisiasa

Barikiwa sana!
LEMA: Askofu Gwajima alimpigia simu Lissu na akakiri kupokea taarifa kuhusu kuchukua tahadhari ya kutokwenda Dodoma, na alipopuuza alipigwa risasi.

LISSU: Hakuna mtu yeyote aliyenitaarifu kuchukua tahadhari kuhusu TISHIO la Mimi kushambuliwa,

Je, kutofautiana kauli Kwa viongozi wawili wa CDM, wanataka JAMII ielewe nini?

Ipandishe thread hii, Mzee mgaya tupate majibu.
 
LEMA: Askofu Gwajima alimpigia simu Lissu na akakiri kupokea taarifa kuhusu kuchukua tahadhari ya kutokwenda Dodoma, na alipopuuza alipigwa risasi.

LISSU: Hakuna mtu yeyote aliyenitaarifu kuchukua tahadhari kuhusu TISHIO la Mimi kushambuliwa,

Je, kutofautiana kauli Kwa viongozi wawili wa CDM, wanataka JAMII ielewe nini?

Ipandishe thread hii, Mzee mgaya tupate majibu.
Ngoja niifanyie utafiti
 
Nimeona kuna shinikizo la kutaka Ole Sabaya naye afutiwe Kesi kama walivyofutiwa Mbowe, Lisu na Lema

Tunakumbushana tu kwamba Kesi ya Lengai Ole Sabaya Siyo ya Kisiasa

Barikiwa sana!

Bwashee kwani Stroke hajui hilo? Sabaya ni Jambazi wa kutumia silaha na pia ni Mbakaji ,Kesi kama hizo hazina dhamana wala msamaha.
 
Wale wanao jiita mawakili wasomi wamejificha vichochoroni, hii nchi bado ina stock kubwa sana ya watu wajinga.
 
Wanafki nyie ,magerezani wamejaa watu kibao wasio wanasiasa Na wala kesi zao hamuombi zifutwe.
Mnakazana Na kesi za watu ambao nyie mna manufaa nao kwa namna moja au nyingine.Wanyonge hawana mtetezi
 
Back
Top Bottom