Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona kuna shinikizo la kutaka Ole Sabaya naye afutiwe Kesi kama walivyofutiwa Mbowe, Lisu na Lema
Tunakumbushana tu kwamba Kesi ya Lengai Ole Sabaya Siyo ya Kisiasa
Barikiwa sana!
Yawezekana wakati mkuuwa wilaya alikuwa anamdharau sana makamu wa rais sa anamnyosha ajifunze kuheshimu watu na kuishi fea,mnakumbuka na makonda alivyokuwa anaogopwa na wakuu wa mikoa na wilaya unadhani nguvu ile ilikuja kiboya tu?Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Aliachiwa huruMahakama ilimhukumu Sabaya ni Jambazi.
Asubiri Msamaha wa wafungwa.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya hao watuhumiwa wawili kwenye makosa waliyokuwa wanatuhumiwa nayo.. Mmoja ni kesi ya kisiasa mwingine ni jinai na shahidi ni JamhuriHapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Leo kidogo zimekurudi Jo.. HongeraNimeona kuna shinikizo la kutaka Ole Sabaya naye afutiwe Kesi kama walivyofutiwa Mbowe, Lisu na Lema
Tunakumbushana tu kwamba Kesi ya Lengai Ole Sabaya Siyo ya Kisiasa
Barikiwa sana!
🤩Leo kidogo zimekurudi Jo.. Hongera
Wewe huoni kama dhana ya siasa za kibabe na ubaguzi zimepitwa na wakati?
Hilo analolifanya Mh. Rais linawachanganya wale wenye siasa zakizamani
Anafokolewa usiku kucha hukoMwanaume real hafutuwi kesi, Mwanaume anashinda kesi hiyo ndiyo tofauti.
Sabaya will rise like a phoenix!
Amekatiwa Rufaa,ngoma bado mbichiAliachiwa huru
Kwanini mnakubali kutumika??Time will tell, huko mbele chuki kubwa itakuja dhidi ya Samia, kuna watu wata feel used kwa sababu ni ukweli kwamba wanatumika ili kumfikisha salama safari yake ya uraisi na kuficha maovu yote na big corruption inayoendelea nchini na haina uhusiano wowote ule na Siasa za kibabe au kizamani, ni swala la muda tu.
Like lucipher atawale kundi la nashetani.Mwanaume real hafutuwi kesi, Mwanaume anashinda kesi hiyo ndiyo tofauti.
Sabaya will rise like a phoenix!
Hope moyoMwanaume real hafutuwi kesi, Mwanaume anashinda kesi hiyo ndiyo tofauti.
Sabaya will rise like a phoenix!
LEMA: Askofu Gwajima alimpigia simu Lissu na akakiri kupokea taarifa kuhusu kuchukua tahadhari ya kutokwenda Dodoma, na alipopuuza alipigwa risasi.Nimeona kuna shinikizo la kutaka Ole Sabaya naye afutiwe Kesi kama walivyofutiwa Mbowe, Lisu na Lema
Tunakumbushana tu kwamba Kesi ya Lengai Ole Sabaya Siyo ya Kisiasa
Barikiwa sana!
Ngoja niifanyie utafitiLEMA: Askofu Gwajima alimpigia simu Lissu na akakiri kupokea taarifa kuhusu kuchukua tahadhari ya kutokwenda Dodoma, na alipopuuza alipigwa risasi.
LISSU: Hakuna mtu yeyote aliyenitaarifu kuchukua tahadhari kuhusu TISHIO la Mimi kushambuliwa,
Je, kutofautiana kauli Kwa viongozi wawili wa CDM, wanataka JAMII ielewe nini?
Ipandishe thread hii, Mzee mgaya tupate majibu.
Nimeona kuna shinikizo la kutaka Ole Sabaya naye afutiwe Kesi kama walivyofutiwa Mbowe, Lisu na Lema
Tunakumbushana tu kwamba Kesi ya Lengai Ole Sabaya Siyo ya Kisiasa
Barikiwa sana!
Kamuulize ,wakili mabere marando na mteja wake BABU SEYaMwanaume real hafutuwi kesi, Mwanaume anashinda kesi hiyo ndiyo tofauti.
Sabaya will rise like a phoenix!