Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ni mambo ya kijinga na ya AIBU YANAENDELEA kwenye SOKA LETU
Yaliyotokea Jana n jambo la AIBU SANA SANA kwa viongozi WA soka la Tanzania
Haitoshi nawiwaa na wasiwasi na waziri HUSIKA kukaa kimya SWALA kama hili ni kuendelea kudumisha ushenzi unaoendelea kwenye SOKA la Tanzania
Binafsi kama MH WAZIRI alitakiwa awe amevunja Ile BODI ya wahuni WA LIGI pale tff
Else Tunamwombea mama Samia amuwadabishe waziri HUSIKA WA MICHEZO iwe fundisho kwa wote wanaoleta SIASA kwenye SOKA la tanxania
Yaliyotokea Jana n jambo la AIBU SANA SANA kwa viongozi WA soka la Tanzania
Haitoshi nawiwaa na wasiwasi na waziri HUSIKA kukaa kimya SWALA kama hili ni kuendelea kudumisha ushenzi unaoendelea kwenye SOKA la Tanzania
Binafsi kama MH WAZIRI alitakiwa awe amevunja Ile BODI ya wahuni WA LIGI pale tff
Else Tunamwombea mama Samia amuwadabishe waziri HUSIKA WA MICHEZO iwe fundisho kwa wote wanaoleta SIASA kwenye SOKA la tanxania