Kabla ya kuzama pm, iyo biashara ndo tunaenda kuijadili namna ya kuifanya na kuitafuta soko? Nataka kufahamu upo stage ganiKupitia Uzi huu Kama Kuna mtu yupo dar na anataka tushirikiane kwenye biashara ya ujasiriamali ikiwemo :
Kuuza maziwa fresh /mtindi
Kuuza chakula
Chips..
Nipo tayari zama dm nikupe contact zangu
Nipo kwenye stage ya kufafuta location ya kufanyia hizo biashara na sijapata ndio maana nikaomba ushirika.Kabla ya kuzama pm, iyo biashara ndo tunaenda kuijadili namna ya kuifanya na kuitafuta soko? Nataka kufahamu upo stage gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashra gani hyo kwa mtaji juu utengeneze one lakiKuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini Hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.
Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu... Leo ndo napeleka benki milion 2.
I'm happy [emoji4]View attachment 1722606
Yani hapa niko nasolve hiki kitendawili,nikipata majibu tu.Mimi tajiri.
Mchawi ni ku Brainstorm tu anza General kuangalia Sector(Industries) zote chambua moja baada ya nyengine mpaka utapata kitu kimoja then kakifanyie Field Study.
Uchumi wapi DS hiyo anayosoma hapo.Degree ya uchumi
Unauza maziwa gani ya kupima au ya pakiti ya viwandani kama ya viwandani nenda pale kariakoo msimbazi stand ya mbagala utachokiona kikopi kama kilivyo au utajua utajiongeza vipi.Nipo kwenye stage ya kufafuta location ya kufanyia hizo biashara na sijapata ndio maana nikaomba ushirika
Itakuwa firechair iyo mzee
Hapo kwenye chips nifafanulie kidogoKupitia Uzi huu Kama Kuna mtu yupo dar na anataka tushirikiane kwenye biashara ya ujasiriamali ikiwemo :
Kuuza maziwa fresh /mtindi
Kuuza chakula
Chips..
Nipo tayari zama dm nikupe contact zangu
Maziwa ya ngombe mkuu haya ya kukamuliwa dailyUnauza maziwa gani ya kupima au ya pakiti ya viwandani kama ya viwandani nenda pale kariakoo msimbazi stand ya mbagala utachokiona kikopi kama kilivyo au utajua utajiongeza vipi.
Hamna mbona kuna sehem zinauzwa na wazee wa vibarakashia wanaibuka kimya kimya
Sasa kwanini usitafute oda kwa watu, migahawa na maman'tilie then ukawa unawaletea directly.Maziwa ya ngombe mkuu haya ya kukamuliwa daily
Mi naishi kibaha ila nikipata sehemu ya kuyauzia kkoo sishidwi kuja huko daily
Hii sio kwanza mambo magumu wateja wa kubet kwenye vikaratasi wengi wamehamia online. Haya mambo ya technology yanabadilisha mifumo mingiPremier bet buku saba unapata ukiuza laki moja.....sasa ivi raia hawana ela mie nilikua nauza laki nne per day mpaka tano wikiend sasa ndio balaa nagonga laki nane mpaka 1M.......nilikua na mashine mbili moja ya vibosile kuanzia mkeka wa buku kumi na kuendelea hawa walikua balaa mtu anakuja na laki tatu anatoa mkeka mmoja tu mashine nyingine ya hawa wenzangu na mie mikeka ya jero buku mpaka buku tisa.....
Nilikua nafunga kijiji balaa pale mtaani nikikosekana masaa tu natafutwa kwenye simu na wafanya biashara wa lile eneo huwa wananiambia nasie tunauza vinywaji na vyakula sana kupitia wewe mimi mwenyewe sikuwahi kuwaza kabisa kama kuwa kwangu pale ni faida kwa wengine......
Nilisoma chuo miaka mitatu kupitia ile biashara nilimaliza 2015 kizaazaa alipoingia huyu bwana wateja wakaanza kupungua mdogo mdogo mwishowe hakuna kabisa umeuza sana laki tena wikiendi kufika 2017 mwishoni nikafunga rasmi biashara........
Hivi huyu mwamba yupo? Mungu ampe afya mpaka ajiulizeNikuombe kitu kimoja siku nyingine ukitaka kutusaidia ficha location yako alafu eleza wazo lako ili kulinda maslahi yako kama anavyofanya @CONTROLA, wengi tutanufaika na Mungu atakubariki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bas inaeza kua ni firechair kweliHamna mbona kuna sehem zinauzwa na wazee wa vibarakashia wanaibuka kimya kimya