Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

Kupitia Uzi huu Kama Kuna mtu yupo dar na anataka tushirikiane kwenye biashara ya ujasiriamali ikiwemo :


Kuuza maziwa fresh /mtindi

Kuuza chakula

Chips..

Nipo tayari zama dm nikupe contact zangu
Kabla ya kuzama pm, iyo biashara ndo tunaenda kuijadili namna ya kuifanya na kuitafuta soko? Nataka kufahamu upo stage gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashra gani hyo kwa mtaji juu utengeneze one laki
 
Yani hapa niko nasolve hiki kitendawili,nikipata majibu tu.Mimi tajiri.
Tupo pamoja sema ni ngumu kukitegua maana hatupo zenji

Sent using Jamii Forums mobile app
Mchawi ni ku Brainstorm tu anza General kuangalia Sector(Industries) zote chambua moja baada ya nyengine mpaka utapata kitu kimoja then kakifanyie Field Study.

Hakuna kitendawili hapo mtaji wa 250K mkubwa sana kukupa 1M kwa mwezi na ikawa 3M ndani ya miezi mitatu.

Kuna jamaa kariakoo ukiangalia mtaji wao hauzidi 100K wanfikisha hiyo 1M+ kwamwezi...katika field observation nilizofanya ndani ya dakika 20 nilizokuwa napata huduma hapo wameingiza mauzo ya 5000 na bidhaa 50+ zipo prepared kuuzwa, bidhaa wanayouza ina Profit margin ya ½ kwa ½ na mtaji.

Mimi kwasasa nimeamua kukaa kimya nitapaza sauti nitapojenga misuri yangu zaidi.
 
Kupitia Uzi huu Kama Kuna mtu yupo dar na anataka tushirikiane kwenye biashara ya ujasiriamali ikiwemo :


Kuuza maziwa fresh /mtindi

Kuuza chakula

Chips..

Nipo tayari zama dm nikupe contact zangu
Hapo kwenye chips nifafanulie kidogo
 
Unauza maziwa gani ya kupima au ya pakiti ya viwandani kama ya viwandani nenda pale kariakoo msimbazi stand ya mbagala utachokiona kikopi kama kilivyo au utajua utajiongeza vipi.
Maziwa ya ngombe mkuu haya ya kukamuliwa daily
Mi naishi kibaha ila nikipata sehemu ya kuyauzia kkoo sishidwi kuja huko daily
 
Hii sio kwanza mambo magumu wateja wa kubet kwenye vikaratasi wengi wamehamia online. Haya mambo ya technology yanabadilisha mifumo mingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…