Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kuwa mtu wa kati na katiHuwa napenda kujiuliza hili swali mara kwa mara, ni bora kusali sana au kufanya kazi sana?
View attachment 3021732
Kama jibu unalo, naomba utusaidie ili tuweze kupata ufahamu zaidi.
Kazi na Sala.Huwa napenda kujiuliza hili swali mara kwa mara, ni bora kusali sana au kufanya kazi sana?
View attachment 3021732
Kama jibu unalo, naomba utusaidie ili tuweze kupata ufahamu zaidi.
Kipi kinachotufanya tuishi, chakula au imani?Kuna muda wa kufanya kazi na muda wa kuomba Mungu. Kuna nyakati kwenye maisha zitahitaji ufanye kazi sana na kuna nyakati utahitaji usali sana Mungu akuvushe. It's only a matter of time and timing.
Kuna uwezekano miaka ya mbeleni, imani ikapotea kabisa na majengo husika kuwa sehemu za uzalishaji.Kufanya kazi zaidi
Na imani ni kuamini usicho kionaKinacho pona Imani sio dini
Ile picha imenifikirisha sanaFanya kinachokupa furaha
KAZI ni ibada ila Ibada sio KAZIHuwa napenda kujiuliza hili swali mara kwa mara, ni bora kusali sana au kufanya kazi sana?
View attachment 3021732
Kama jibu unalo, naomba utusaidie ili tuweze kupata ufahamu zaidi.
Imeandikwa baada ya ibada mtawanyike kutafuta riziki. That means the two should be balanced. Simple.Huwa napenda kujiuliza hili swali mara kwa mara, ni bora kusali sana au kufanya kazi sana?
View attachment 3021732
Kama jibu unalo, naomba utusaidie ili tuweze kupata ufahamu zaidi.
Imeandikwa
Imeandikwa baada ya ibada mtawanyike kutafuta riziki. That means the two should be balanced. Simple.
Wachungaji nao wanatawanyika kutafuta riziki au wanakula sadaka walizopata kupitia kazi yao ya kuuza manenoImeandikwa
Imeandikwa baada ya ibada mtawanyike kutafuta riziki. That means the two should be balanced. Simple.