Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?

Walijua jinsi wanakusevu! R.I.P huyo rafikiyo.
 
Nlishavutag bangi ming sana mixer sigara nyota baada ya kumalizia chuo Ili niweze copy maisha ya kuwa saidia fundi

At that time mother na father wote nlishawazika

Nkapewa jina la a.k.a" Motherfucker "

Big up kwenu mafundi wote wa Dar Kwa support yenu,Kwa Sasa npo vizur na weed Bado naendelea kulinyonya as usual
 
Huyu alikuwa rafiki wa ukweli.
Maisha yanachangamoto sana.
 
Mwalimu acha weed [emoji1787][emoji1787]
 
Haki! story yako imenitoa machozi. Kuna kipindi mtu unapitia maisha ya hatari sana.

Ila Mungu mwema.
 
Hili somo la Behavioral science mimi pia nlisoma chuo ni michosho sana asee
 
Bro mi mwenyewe nikijiangalia kwenye kioo huwa nashangaa nilitokaje kwenye shimo kule.
Kabisa Kaka! Inabaki kuwa ni story isiosahaulika maishani, kuna kipindi tuliokula msoto tukikutana tunahadithiana huku tukiucheka/ kuuchukia wakati wa msoto tulioupitia.

Acha kabisa maisha ya ufukara ni hatari sana.
 
Hili somo la Behavioral science mimi pia nlisoma chuo ni michosho sana asee
Hilo ni somo la kipuuzi sana.

Saikolojia ya maisha ni kwamba unapofanya kazi yoyote make sure umeitimiza,na sio kuishia njiani,chakula weka kichache ambacho utaweza kukimaliza chote,kubakiza chakula ni upuuzii
 
masikini akipata makalio ulia mbwiii.
 
mzee na shida zote hizo unapata wapi ujasiri wa kutomba na kusimamisha uume?? unapenda sana uchi utakufa umesimamisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…