[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Daa acha tuu Mama yetu pia ameondoka kipindi mwanga ndo unaanza kuonekana.. Inaumaaa sanaa yani mnooo!Nkikumbuka enzi nakua mama ambaye ndo hustler wa familia alivyopambana na sisi kwenye lile wimbi la umaskini[emoji24][emoji24]
RIP dear mama japo matunda ya jasho lako hukuyaonja walao uliona milango inaaza kufunguka
😄😄😄😄😄😄😄 Na wife alivyorudi mlilala wapi?umenikumbusha mbali. nilikopa godoro nikailaza chini sikuwa na kitanda akaniongezea na stuli ya kukalia alafu nikaoa siku 15 mbele wakati wa jion wife anasonga ugali jamaa anapiga hodi karibu mara paap nataka pesa ya godoro na ya stuli mbele ya wife daah nikamuomba aniongezee siku 15 inafika asubuhi napiga mswaki kurudi ndani nikakuta wife kabeba vitu vyake kampelekea daah
Omba sana yasikukuteeeNimesoma huu uzi wala sijaamini, au wengine watakuwa wanapika chai.
Yaani kuna wana hapa wanaeleza eti wana familia tena mke na watoto afu wanapiga deshi asee ni chai au ni kweli.
Kwa mabachela ni sawa hata mimi nimepitia sana.
Mimi pia nimewahi kushindia kipande Cha mua Cha sh.100 na nilikinunua Kutoka Kwa akina ya sh.300 niliyokuwa nayo..Mke wangu kushindia mua tu tena akiwa mjamzito. Mungu atusaidie kwa kweli.
Yaani giza linazama mnaangaliana 😆 kunikuta yashanikuta ndugu ninajua ila kuna ile Ugali mlenda mnalala. Ila sio matumbo yananguruma.Omba sana yasikukuteee
Mi pia nimejiuliza wanawake wa hivi wapo bado.Huyu shem apewe maua yake. Daah kuna wanaume wenzetu wana bahati asee.
Akikujibu niambie.Huyo mke unaye mpaka leo?!
Humu utaishia kudhihakiwa tu hakuna msaada utapataWew achana na nyie wakishua ambao mmekulia maisha mazuri hamuzijui shida wala umasikini.
Jf wengi wanaFake maisha lkn kwa Ground ukweli mnaujua[emoji23].
Mim nakumbuka niliwai pigwa na maisha mpaka nikafanya kama alichokifanya mtoa mada yaan kusachi nguo nikaambulia vumbi tupu[emoji23][emoji23], kiufupi niliambulia patupu kwa hasira nilizikusanya nguo zote nikawabeep washikaji waje wajichagulie kwa bei nafuu, maajabu na washikaji nao walipokuja wakaishia kunikopa nikaambulia buku3 ya kula siku moja.
Nishawai shindia pipi ivory na maji mengii siku nzima mpaka ukitembea tumbo linanguruma ule mlio wa maji kujaa tumbonii[emoji23][emoji23].
Shaenda mpaka kwa sangoma aloge nipate pesa kibahati nilipe madeni ya watu lakin mjinga yule nae akaanza masharti ya kijinga huyo nikatimka[emoji23][emoji23]
Kiufupi ukiwa ktk kipind kigumu kuna njia unazoamini zitasaidia kujikwamua lkn maajabu hizo njia ndio zinakuzamisha ktk mateso zaidi[emoji23].
JF watu wakiacha kuigiza maisha na kueleza uhalisia wao watasaidika humu kuna wengi tu wana Roho nzuri za kusaidia hata mimi kwa niliyoyapitia sipendi kuona mwingine anayapitia, lkn kwa hii Trend ya wanaJF kufake maisha basi acha wote tuonekane tuna magari na manyumba.
Pole mkuu, ila ndo maisha ila kila siku ya maisha yangu siwez acha kumkumbuka mama maana alipambana kufa na kupona kwa ajili yetu. Kuna siku aliumwaga tukiwa wadogo kwa mda kama wa zaid ya wiki mbili nahisi, tuliteseka sana kipindi kile[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Daa acha tuu Mama yetu pia ameondoka kipindi mwanga ndo unaanza kuonekana.. Inaumaaa sanaa yani mnooo!
Hahahaaaaaaaa , aloo umeifanya siku yangu kuwa nzuri sana.Heeee nyie mmetokea wapi mbona wanajf hatupo hivo
Nilichojifunza katika dhiki ni kuwa kufanya wema ni baina ya nafsi ya mtu na Mungu wake.Umeyaiga haya? Au ndio mwenye shida atajiju.
I showed this comment to my wife. Kila mara namwonya kuhusu hili. Lakini siku nikiingia jikoni lazima nikute chakula kimemwagwa.Kamwe do not entertain kumwaga chakula ndani kwako, hakikisha chakula kinapikwa cha kutosha watu kushiba vizuri lakini kisiwe kinamwagwa. Kosa/dhambi kubwa sana hii kumwagamwaga vyakula.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pumbavu wewe. Wewe unakula muwa gani?
Hahahaha haaa kweli we ni too shortMuwa paipu au muwa gani?
Ajue maisha sio rahisi namna hiyo, lakini pia akumbuke privilege aliyonayo na familia yake kuna wengine hata hayo makombo wanayatamani.I showed this comment to my wife. Kila mara namwonya kuhusu hili. Lakini siku nikiingia jikoni lazima nikute chakula kimemwagwa.