Pale sumbawanga enzi za Upendo vile yule jamaa Dj Devi bado yupo, redio ya Chemchem vipi huwa haina dj..?Dah kuna dj alikuwepo kwenye kipindi cha kiss collabo mix show cha kiss Fm nadhan anaitwa Dj devy jamaa ni mkali hatarii kibongo bongo ndio dj akipiga nyimbo lazima mwili unisisimke na kuanza kuenjoy... Kwa upande wa club kuna jamaa yupo club moja sumbawanga inaitwa M the best anaitwa dj Yt professional nae namkubali sana hadi mixes zake huwa nadownload ☺☺
Unazungumzia Club Mint..?DJ John Dilinga, DJ Bonny Luv, DJ Steve B wengine wengi wa siku hizi uwezo wao unafafana sana. Wana vitu vile vile ni ngumu sana kuwatofautisha.
Ila mikoani kuna wadudu wanakamua bana basi tu Dar ndio kila kitu. Nimewahi kuingia club moja huko Bukoba nilibumbwaa majamaa wanavyokamua tena walikuwa wanapokeza ngoma moja moja, huyu old skool huyu anajibu na new skool ....hatari ....na mixing/Scratching ziko perfect!
Sent using Jamii Forums mobile app
Guru, Bon Luv, Dj JD, Dj RiccoKama hukucheza disko na hawa jamaa miaka ya 90 sijui usimuliwe vipi ....View attachment 1054487
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu mixcloud.com ila haina option ya kudownloadHivi ni sehemu gani nnaweza pata Playlist za madj wa radio za kibongo hapa hasa EAradio
Sent using Unknown device
Ok poa kiongoziPoa poa, hata kwa idm haiwezi detect audio kweli...! Wacba nitest
Bonaventure amefariki kitamboDj moja hivi alishawahi kuwa pale Magic anaitwa Bolynature huy jamaa ni balaa sana
Niliwahi kuingia Club moja inaitwa Royal Giraffe pale Tmk dah huyu mnyama ndipo nilipopiga #salute jamaa ni hatari sana huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Alukuwa anajiita Dj Boy Nature, kabla ya kuja Dar alikuwa akipiga club moja huko Songea inaitwa Buhemba alikuwa vizuri sana. Siku moja moja alikuwa anapiga pale micasa lounge ubungo alikuwa anapenda sana kupiga wimbo wa What luv wa Phat Jo na Always on time wa Ja rule alikuwa akija club hawezi maliza playlist yake bila kupiga hizo nyimbo angalau hata mmoja. RIP Boy NatureBonaventure amefariki kitambo
Hao ndio ma Dj bora...unajua sana.Kuna Dj alikuwaga Kiss fm anaitwa Dj Davy sijui mwamba yuko wapi siku hizi alitisha sana kipindi kile, pia Dj mmoja anaitwa Dj Dhifa sikumbuki ilikuwa Mbeya au Iringa kuna Club nilizamia mida mibovu alikuwa anapiga pia alinibamba
Davy aliokoka akaacha za kidunia...hakua na mpinzaniDea hatabiriki leo anapiga fresh kesho anaboronga. Kuna jamaa alikuwa kissfm mwanza anaitwa dj davy hakuwahi kuboronga hata siku moja akaja dj willy b naye noma
Sent using Jamii Forums mobile app