1. Tafuta kinyozi fungua saluni ya kiumeHabari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Pembezoni mwa kila jijiLocation?
GeitaBila shaka upo njombe sio dar
Tafuta bodabods used mpe kijana mwambie akuletee 5000 kila siku service sijui nini juu yakeHabari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Hii DECI hii sasa hivi watu watalia. Hakuna biashara ya hivyo hata siku 1 watanzania kama kondoo Yani Huwa hawabadiliki.Pale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
Utatapeliwa acha tamaaMhhhhhh inajihusisha Na nn Io taasis
Naenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
Unaweza kupambania masoko ya kuku na hyo nyama kwenye mazingira unayoishi (namanisha unaweza pata wateja wakuchukua kilo mia au hamsini kwa siku).
Jipange mnada ni jumatano na jumamosi Wilaya ya Geita na Tarafa Kimwani Muleba Siku Jumatano.Kama hili unaloongea unalifanya naomba twende pamoja tukalangue hao kuku.
Dah huko mbali na nilipo sitaweza labda SGR ikifika MwanzaJipange mnada ni jumatano na jumamosi Wilaya ya Geita na Tarafa Kimwani Muleba Siku Jumatano.
DECIPale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
Let say mtu ni mlinzi ktk kulipwa mishahara ame save mpaka imefikia hiyo pesa 1m anataka kuacha kazi ya ulinzi afanye shughuli nyingine ya kumuingizia kipato je swali lako Lina mantiki?Ila pia mleta mada mbona kama na we umetuletea ile kitu inaitwa Chemsha Bongo? Hiyo hela umeitafuta, umepewa,au umeiokota? Umejua jinsi ya kuipata ila hujui jinsi ya kuizalisha? Kweli we mleta mada aaaah inaweza kuwa unatuchezesha chemsha bongo.
mkuu,Hela yangu Huwa hailiwiHii DECI hii sasa hivi watu watalia. Hakuna biashara ya hivyo hata siku 1 watanzania kama kondoo Yani Huwa hawabadiliki.
Ukizubaa unaliwa tumkuu,Hela yangu Huwa hailiwi
Me sio bwege Hela yangu iwekwe eneo kizungumkutiUkizubaa unaliwa tu
Utapeli huo jichanganyeniPale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
kwamba nimetapeliwa sio kirahisi hivyoUtapeli huo jichanganyeni
Hiyo ni Let say je kama sio Let say?Swali lako lina mantiki?Let say mtu ni mlinzi ktk kulipwa mishahara ame save mpaka imefikia hiyo pesa 1m anataka kuacha kazi ya ulinzi afanye shughuli nyingine ya kumuingizia kipato je swali lako Lina mantiki?
Kwa jibu hili umeonyesha dhaihiri swali lako halikuwa na maana yeyote.Hiyo ni Let say je kama sio Let say?Swali lako lina mantiki?